mkuu wangu dingiswayo hii kitu haipo na imepoteza mvuto wote wa JF.....mashindwa hata nisome nini hapa JF sijui hawa jamaa waliitoa kimakosa ama vipi. i hope invisible wataona hili badiko lako. au mafisadi wameiiba
hahaha ..utazoea tu..hapo pembeni unaweza kustopishaNa hii inaongezeka kila baada ya seconds kadhaa, mie yanipa makengeza!!
Rock unajua Toka asubuhi sijapata bahati ya kucheka but hapa nilipo machozi yananitoka kwa kucheka teh..........teh.............tehhhhhhhhhhhhhh,mbavu zinauma jamani inatosha kuchangia jii post wengine tutaumwa
Kuntu.mods warudishe ile ya zamani
hii inaumiza na sioni faida yake kabisa