Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.

asante magalle shibuda mzee wa nahau mpenda ukweli umenena sahihi kabisa ila walioweka nta masikioni hawatakuelewa hasa wale wanaevaa heleni sikio la kushoto na kuvaa suruali matakoni
 
Ajiuzulu,kwan alishakataliwa hata kujiuzulu? Chadema hatuhangaiki na mwehu kama shibuda,chama kimempuuza
 
Ukiwa unazama si wakati mzuri wa kujifunza kuogelea.Nafikiri alale pema tu kisiasa
 
Nikukumbushe

mtajua muda umeenda chama gani cha kifamilia mtu akitaka kugombea kwa kufata taratibu anafukuzwa hamtatawala milele kabisa
kidumu chama cha mapinduzi chenye usawa na haki kuliko hiki saccos
 
Last edited by a moderator:

Mwehu hafukuzwi
 
Najuta kuweka bila kukopa kwenye Hii SACOSS for halikuwa wenzangu wanaweka nakukopa
 
Mzee Shibuda hongera kwa kusema ukweli....chama hiki ni cha familia.Masikini ya Mungu wanachama hawajui wanafuata tu kama nyuki na mzinga.
 
Kaukweli kapo ila mzee shibuda we ni nyoka wa kibisa ndo tofauti yako na zzk
 
Mimi ndio sababu nilikuwa nashangaa kwanini Mh.Zitto Kabwe,anaandamwa hivi.Kumbe anataka kuvuruga utaratibu wa SACCOS ya watu.Sasa hapa tunaanza kuwajua wanafiki ni kina nani?
 
kuna kipindi watu wa chadema walisema shibuda aliwasingizia kina kileo ni magaidi,vijana wa chadema ni hasara tu
 
Masikini ya Mungu wewe uliweka bila kukopa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…