Siku hizi kama hauna sadaka hakuna maombi - Mchungaji Mlokole.
Wajinga Ndiyo Waliwao.
Wengi tumeishi au kuwaona au kuwasikiliza vichaa wakiongea. Kuna wakati wanasema ya ukweli lakini ni mara chache na kwa jinsi hiyo kwa ujumla huwa hatuamini ya vichaa au wale ambao akili zao zimekwenda kombo. Shibunda ni mmoja wao ambaye akili imekwama.
Linalonishangaza ni ninyi wana JF kumushangilia kichaa! Nanyi zimekwama nini? Vichaa munapeana hi!
Wengi tumeishi au kuwaona au kuwasikiliza vichaa wakiongea. Kuna wakati wanasema ya ukweli lakini ni mara chache na kwa jinsi hiyo kwa ujumla huwa hatuamini ya vichaa au wale ambao akili zao zimekwenda kombo. Shibunda ni mmoja wao ambaye akili imekwama.
Linalonishangaza ni ninyi wana JF kumushangilia kichaa! Nanyi zimekwama nini? Vichaa munapeana hi!
Hapo kwenye red pangesomeka "wajinga" ndio ingetulia na ingekuwa sahihi pia.Wajanja tumeshajiunga kwenye safari ya matumaini ya mheshimiwa rais Lowasa
Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.
Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.
Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-
Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.
Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.
Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.
Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.
Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.
Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.
Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.
Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-
Angalia hapa chini.
1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe
Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.
Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-
Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.
Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.
BAVICHA karibuni muonyeshe umahiri wenu wa kutukana.
kila mtu mdomo mali yake haulipiwi kodi!!!kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John m. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.
Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee edwin mtei na baba mkwe wake freman mbowe.
Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-
mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.
Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya ruzuku inaenda kwenye familia ya mtei.
Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa saccos hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee mtei.
Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.
Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena dk. Slaa.
Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.
Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.
Mhe. John shibuda amesema tangu mzee mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-
angalia hapa chini.
1992-1998 mwenyekiti - edwin mtei
1998-2003 mwenyekiti -bob makani-
2003-2008 mwenyekiti - freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - freeman mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman mbowe
mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim lipumba vinala wa ukawa hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.
Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa saccos kikaongoza nchi ?-
mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.
Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
asanteni sana-
john magalle . Shibuda.
Wenyeakili tumemuele ahsante sana mtoa mada BAWACHA wengi wao ni MAJUHARA.
kila mtu mdomo mali yake haulipiwi kodi!!!
Sisi tunakueleza ukweli ambao huwezi kuupina hata chembe. Kuna Mchina alikulazimisha kununuwa bidhaa yake? Unanunuwa mwenyewe, kama unaenda au unaagiza hiyo kazi kwako. Yeyey kapowa burdaan, quality utachaguwa wewe si yeye.
Nyie ndiyo wale mnaotaka biriani kwa bei ya maharage.
Mkuu unakosea sana kumfananisha chibuda na wasio na akili timamu. Hivi unajua kuwa ni wabunge wachache wanaoweza kuhama na wapiga kura wao? Chagadema ilimpokea huyu jamaa kwa shangwe nyingi leo unamdis kisa kutoridhishwa na mwenendo wa chama? acha muvi iendelee
Shibuda ni kichaa ndio maana CHADEMA huwa hawaangaiki nae, kama angekuwa anajitambua wangemchukulia hatua. Shibuda ni Comedian