Huyu karibia atapata ule ugonjwa wa mtikisiko wa ubongo (brain concussion or so (spelling sijui nimepatia au). Wewe msalama tena umekutana na chadema ni wastaarabu wanakuacha tu unabweka!!! Subiri 2015 uone mambo. Hivi unakumbuka 2005 ulivyokuwa unaomba hela za uchaguzi tena kuna mtu wangu fulani alikusaidia sana lakini hata humkumbuki.Tapeli tu wewe. Huna pa kukimbilia ni sawa na panya ndani ya ndoo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.