Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 955
Umeonaeh!
Shibuda ni lulu kwa CDM. Kamwe hawawezi kukubali kupoteza hichi kifaa cha nguvu...
ukijibishana na taahira wewe ni ........
Ukikimbizana na kichaa na wewe utakuwa ...........
Mwanangu kumbatia elimu kwani ni ..................
Hutakiwi kutumia mabavu kwa mtu kama shibuda kwani mtu mwerevu hutumia akili,elimu,tafakari na hekima katika kuhukumu. Suluhisho la shibuda liko njiani.
UMESAHAU KUWA HATA KUKAA KIMYA NI JIBU?TAFAKARI VIONGOZI WA CHAMA WANAVYOKAA JIBU WAMETOA JIBU GANI JUU YA SHIBUDA