ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
People's Power ni kauli mbiu ya TANU iliyoigizwa na CHADEMA - Mh. SHIBUDA.MH. JOHN SHIBUDA AONGEA (MichuziBlog) - YouTube
People's Power ni kauli mbiu ya TANU iliyoigizwa na CHADEMA - Mh. SHIBUDA.MH. JOHN SHIBUDA AONGEA (MichuziBlog) - YouTube
Katika daftari ya msajili wa vyama vya siasa hakuna chama chenye jina TANU
People's Power ni kauli mbiu ya TANU iliyoigizwa na CHADEMA - Mh. SHIBUDA.MH. JOHN SHIBUDA AONGEA (MichuziBlog) - YouTube
Hiyo ni video ya mwaka 2010. Haina lolote nadhani ni wakati anashukuru wapiga kura wakwe kwa kuchaguliwa kuwa mbunge.People's Power ni kauli mbiu ya TANU iliyoigizwa na CHADEMA - Mh. SHIBUDA.MH. JOHN SHIBUDA AONGEA (MichuziBlog) - YouTube
Halafu? Ili iweje? Na wewe acha kupotosha watu ZeMarcopolo, kwa kukusaidia tu...kauli mbiu ya peoples power ina historia yake ulimwenguni na wala haina uhusiano wowote na TANU. Shibuda hajui anachokiongelea, period.Shibuda hajasema kwamba jina hilo liko kwa msajili wa vyama. Alichosema ni origin ya kauli mbiu ya People's Power. Anachofanya ni kuweka rekodi za historia sawa tu.
Well said Mh. Shibuda.
Halafu? Ili iweje? Na wewe acha kupotosha watu ZeMarcopolo, kwa kukusaidia tu...kauli mbiu ya peoples power ina historia yake ulimwenguni na wala haina uhusiano wowote na TANU. Shibuda hajui anachokiongelea, period.