sidhani kama haxo maneno uliyomsifia nayo kama yana hekima kwa nchi kama Tz inayosifika kuwa na democrasia ya midomoni mwa watu pasipokua na vitendo vya democrasia
mkuu Msanii hizo tuhuma si za kweli, atawalipa kwa maslahi yapi?Tuhuma za Masalia kulipwa na Shibuda zina ukweli wowote?
Hapo mkuu umenipa jibu kwamba Shibuda ana walio nyuma yake (ingawa ngumu kuthibitisha).....ntapinga hadi kesho, shibuda hawezi kutoa pesa zake kuwalipa watu wanaoivuruga chadema, ila pesa hizo zinatoka CCM kupitia kwake, hilo siwezi kuthibisha.
acha utani mkuu! hujui faida za usaliti?Hapo mkuu umenipa jibu kwamba Shibuda ana walio nyuma yake (ingawa ngumu kuthibitisha).
Kwa faida gani hasa?
Unaniaminisha kwamba CHADEMA hawakufanya vetting kabla ya kumpa jukumu la kugombea ubunge?Shibuda ni hiyo namba 2, mpinzani wa wapinzani i.e. CHADEMA.
Uwepo wa huyu jamaa CHADEMA ni funzo kubwa kwetu kwa miaka ijayo kutopokea watu wa calibre yake ambao ni wengi mno kwenye siasa zetu ktk ngazi za mtaa mpaka urais.
hebu tudadavulie unafiki wake mkuu.
Inawezekana ni kipofu hajui afanyalo labda, au waonaje wewe?
Unafiki wake?Huyu shibuda ni mnafiki mkubwa