Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,021
- 132,763
Mkuu Makoye, asante kwa yote na endelea kujifariji kuhusu hao watanzania walio wengi!, kama ulisshangazwa na matokeo ndani ya BMK, utashangaa zaidi na matokeo ya kura ya maoni, halafu tutakutana humu humu kukumbushana kuhusu hao Watanzania wengi, ni wengi wepi!.Pasco,
vyama pinzani ikiwemo CHADEMA waliamua kususia BMK kwa sababu zilizo wazi kabisa na zinaungwa mkono na Watz walio wengi.
Mkuu Makoye, asante kwa yote na endelea kujifariji kuhusu hao watanzania walio wengi!, kama ulisshangazwa na matokeo ndani ya BMK, utashangaa zaidi na matokeo ya kura ya maoni, halafu tutakutana humu humu kukumbushana kuhusu hao Watanzania wengi, ni wengi wepi!.
Pasco
mbona inasemekana wanatafuta suluhu na ZITTO?
Chama changu CCM?!...OMG!.Pasco,
Kwa kawaida yangu huwa sipendi unafiki na longolongo za kisiasa kama zinavyofanywa na chama chako cha CCM. Umafia na ubabe wa kupora haki za walio wengi na kuzigeuza kuwa kinyume ili zionekana ndiya mawazo ya CCM!!!
BMK tunajua, hata CCM wanajua kabisa kuwa Katiba Inayopendekezwa si MAONI YA WATANZANIA YALIYOKUWEMO KWENYE RASIMU #2 Iliyotokana na Tume ya Jaji Warioba. Hili ni jambo liko wazi na halina ubishi.
Tunajua namna SS na Andrew Chenge walivyocheza na namba za Wajumbe hasa kutoka Zanziba ili kutengeneza theluthi 2(2/3) ya BANDIA. Tumeshuhudia Mjumbe mmoja mtu mzima akilia mbele ya media kwa jina lake kuingizwa kwa kughushi ili kupata 2/3. Tumeshuhudia SS na Chenge wakihaha kulaghai watu kuwa Wajumbe waliokuwa nje ya Nchi walokuwa wameenda kuhiji na hospitali kuwa walipiga kura kwa FAX na MITANDAO kitu mabacho si kweli na ni kinyume na sheria za BMK!!!!
BMK limekosa maridhiano na hivo limekosa uhalali na utashi wa kisiasa na hivo kupoteza haki ya kuwapatia Watz waliowengi Katiba BORA nayopendekezwa. Twendeni tunavoenda lakini nina hakika kabisa kuna madudu yataenda kuibuka huko mbele hata kabla ya KURA YA MAONI na ndo utakuwa mwisho wa Katiba ya CCM inayopendekezwa.
Tusubiri tu, kwani siku hazigandi. Time gonna tell.
mbona inasemekana wanatafuta suluhu na ZITTO?
Katika dhana inayoendela ya kuwaondoa wasaliti ndani ya Chadema; kamati kuu ya chama hicho kitakaa leo jumanne kujadili mambo mengi likiwamo la chaguzi za serikali za mitaa na nyendo za badhi ya watu ndani ya chama hicho!!!!!
Akiongea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika siku ya juma mosi tarehe 11 katika kata ya moshono korna ya kiserian;
Mbunge wa Arusha mjini Mh Godbless Lema alisema hawataweza kuvumilia kuwaona wasaliti wakiendelea kudumu ndani ya chama hicho!!!Alisema hawatasita kuchukua hatua kwa yeyote anakiuka taratibu za chama akiwatolea mifano ya mh Zitto;Mwigamba;Mkumbo & etl!!!!Aliongeza kuwa wanda kukaa n kutoa maamuzi juu ya Shibuda!!!!! "Jumanne tarehe 14 tuakaa tutaamua hatima ya Shibuda;lazima aondoke"!Alisema
Maoni yangu: Chadema isimwonee haya vibara na vipandikizi vilivyoko ndani ya chima hicho.
Mkuu Makoye, asante kwa yote na endelea kujifariji kuhusu hao watanzania walio wengi!, kama ulisshangazwa na matokeo ndani ya BMK, utashangaa zaidi na matokeo ya kura ya maoni, halafu tutakutana humu humu kukumbushana kuhusu hao Watanzania wengi, ni wengi wepi!.
Pasco
Kumbe lema ndiyo msemaji wa chadema siku hizi.
Endeleeni kupotoshana lakini jk ni kiongozi wa karne hana mfano wake hata huo upinzani jk ndiyo kawapa uhuru wa kufanya siasa za namna hii mpaka wenye matusi nao mmepewa fulsa ya kutukana lakini watanzania siku zote huwa hawafuati upepo wanajua wanafanya nini kura ya kaoni ni ndiyo zote wala halina shida.Pasco uko sahihi kabisa kweli tutashangaa sana matokeo ya kura ya maoni kama hawa 600 mpaka wafu walipiga kura , hiyo ya maoni mizimu itahesabiwa ukizingatiwa hakuna wakala wala walinzi. JK in full movie
Kwasababu ni jambazi mimi nawaogopa majambazi siku zote kwasababu huuwa watu bila hata kosa.Mbona unamuogopa sana mh.lema? Ukimsikia tu una weweseka why?
Kwasababu ni jambazi mimi nawaogopa majambazi siku zote kwasababu huuwa watu bila hata kosa.
Shibuda ni mbunge wa Chadema kwa tiketi ya CCM