mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 519
John Magale Shibuda ndiye chaguo la chadema kwa mgombea urais kwa 2015 vuguvugu linaloendelea sasa kwenye chama ni kumjengea uwezo wa kuhimili mikikimikiki ya upinzani maana ccm hakuna mikiki kama hii ingekuwepo jk angeufyata asingekuwa na nguvu kwakuwa yuko juu ya chama kwakuwa chama kingekuwa na rungu la kumuondoa madarakani.Big up Chadema na mgombea mnayemuandaa Shibudaaa!!!!