IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
zumbemkuu nadhani sasa inatosha hata wale tuliokuwa na uvumilivu kwake sasa tunasema imetosha.
Ni muhimu sana shibuda akarudishwa huko magambani alikotoka, kuliko kumuacha atumie majukwaa ya chadema kukitukana chama chetu.
mwita, busara yashinda papara mkuu, nadhani ni jambo la muda tu. shibuda hiyo mission yake haitafanikiwa. hebu mnakumbuka miaka 2 iliyopita ccm walisema kuwa chadema haitafika 2015, sasa unadhani walikuwa hawana fact?
Last edited by a moderator: