Acha kutukejeri tukiwa katika hali hii
Lakini kaenda kupiga picha mwenyewe!!!Acha kutukejeri tukiwa katika hali hii
Anakupa mchezo bila shida yoyote hapo alipo
mpendwa.. Alo pichani kajheshiu vp had avae kyupi nakugeuza uumbaji wa kiumbe kile biashara....!! MR...Usipojiheshimu utaheshimiwa kweli?
You have a point bro........mi huwa nashangaa hata wadada wanaokubali kushiriki movie za ngono wakiwa wajawazito kisa eti dau huwa linaongezeka, huyu hajadhalilishwa tena Mkeshahoi kamsaidia kutimiza azma yake ya kufanya matangazo, yuko kazini hapo.
Mkeshahoi thank you for this useful post!
Mkeshahoi umemdhalilisha mama wa watu.
sasa hili lina uhusiano gani na hii Topic?
maana umefungua Thread ya kulalalmika watu wanaoharibu mtiririko wa mada sasa sijuhi na wewe unafanya nini, maana na mimi umeshanitoa kwenye mada ili nikuulize wewe