Not for kids its just for Critical thinkers. Common sense thinkers will be overloaded.Bed time stories for kids
Soma uzi kwa umakini na vifungu nilivyonukuu utaona moja ya miongoni ya miti ya matunda waliokatazwa ni mti wa ujuzi wa mema na mabaya pamoja na mti wa uzima.
Adam na Hawa walifanikiwa kula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya wakapata maarifa ya kujua mema na mabaya, hata Mungu mwenyewe anakubali. Mwanzo 3:22-24
Adam na Hawa hawakufanikiwa kula tunda la mti wa uzima mana Mungu aliwahi kuwafukuza kabla hawajala. Endapo wangekula maneno ya nyoka yangetimia. Mungu mwenyewe anathibitisha hapohapo mwanzo 3:22-24.
Onyesha uongo wa shetani kwa kujikita katika mada.
Soma uzi kwa umakini na vifungu nilivyonukuu utaona moja ya miongoni ya miti ya matunda waliokatazwa ni mti wa ujuzi wa mema na mabaya pamoja na mti wa uzima.
Adam na Hawa walifanikiwa kula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya wakapata maarifa ya kujua mema na mabaya, hata Mungu mwenyewe anakubali. Mwanzo 3:22-24
Adam na Hawa hawakufanikiwa kula tunda la mti wa uzima mana Mungu aliwahi kuwafukuza kabla hawajala. Endapo wangekula maneno ya nyoka yangetimia. Mungu mwenyewe anathibitisha hapohapo mwanzo 3:22-24.
Onyesha uongo wa shetani kwa kujikita katika mada.
Poa! Na kama ni mweza ya yote, anamuwezesha shetani kufanya maovu duniani. Huenda Mungu ni kama kinyonga, wakati mwingine ni shetani.
SahihiKusoma biblia kikasuku unaweza kuchanganyikiwa au kutaka kusafiri bila paspoti.
... kwani waliamriwa wasile matunda ya miti mingapi? Labda tuanzie hapo!Jamaa someni kwa kuelewa na si kufuata nadharia za watu wengine.
Katika mwanzo 3:22-24 Mungu mwenyewe anathibitisha we ni nani mpaka upinge? Kuhusu kuwa kama Mungu, Mungu alisema mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu(Mungu na wenzake) na kuhusu kufa, Mungu ndiye aliyeingilia kati kabla ya kitendo cha kula tunda la mti wa uzima hakijafanyika, kwa maana wangekula wasingekufa.
Ila tunda la mti wa ujuzi walikula ndo maana wakajua mema na mabaya, Mungu akachukia akawahi wasile tunda la mti wa uzima wakaishi milele.
Mwanzo 22-24 inasema hivi; nanukuu
"22 Bwana Mungu akasema, Basi huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu,kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima,akala akaishi milele; ²³ kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa: ²⁴ Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka makerubi upande wa mashariki mwa bustani ya Edeni na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima."
Kama na hapa usipoelewa basi samahani.
Vizuri, hujajibu kikasuku, umejibu hoja kwa hoja na kwa kuweka uthibitisho. Big upUkisoma siku zote soma Kwa tafakuri na ufahamu.
Walikatazwa kutokula matunda ya mti mmoja tuu ambao ni mti wa ujuzi wa Mema na mabaya.
Embu soma Hii Aya vizuri
Mwanzo 2:
17lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”
Hakusema matunda ya miti iliyokuwepo katikati ya Bustani, kisha aitaje, nop! Bali Kasema matunda ya MTI.
Huo mti WA uzima hawajakatazwa kuula, sema walikuwa haujui.
mungu ni kibobori mahoro 😅🤣🤣🤣Poa! Na kama ni mweza ya yote, anamuwezesha shetani kufanya maovu duniani. Huenda Mungu ni kama kinyonga, wakati mwingine ni shetani.
Good, Hapa umesoma kwa uelewa na kunijibu kwa hoja yenye nguvu. Waumini wote wakiwa hivi hakuna muumini atakayedanganywa na viongozi wa dini. Sijui wafunge mpaka kufa eti wakamwone yesu.... kwani waliamriwa wasile matunda ya miti mingapi? Labda tuanzie hapo!
Mwenyezi-Mungu alimwamuru huyo mwanamume, “Waweza kula matunda ya mti wowote katika bustani; lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”, Mwa 2:16-17
... sasa thibitisha hoja yako kwamba Shetani hakumdanganya Eva/Hawa.Good, Hapa umesoma kwa uelewa na kunijibu kwa hoja yenye nguvu. Waumini wote wakiwa hivi hakuna muumini atakayedanganywa na viongozi wa dini. Sijui wafunge mpaka kufa eti wakamwone yesu.