Shetani Baba Yangu ( Devil My Father )

We tulikuwa wote kwenye story mpaka nilikuwa nakumention tena umekuwa ubobo sielewi yaaani me nikajua ni umeleta story mpya
Ubobo ana ID tano. Ya mwanzo ilikuw gentapyne sujui🀣 ana nyingine zikeandikw shetan mkuu🀣 hii anajifanya mtakatifu🀣🀣🀣
mods wamemshtukiaπŸ˜€
 
Ubobo ana ID tano. Ya mwanzo ilikuw gentapyne sujui🀣 ana nyingine zikeandikw shetan mkuu🀣 hii anajifanya mtakatifu🀣🀣🀣
mods wamemshtukiaπŸ˜€
Hapana Mkuu hii ndio ID yangu ya kitambo zaidi kuliko yoyote since 2019 huko japo zilikuwa merged ndio maana unaona joined 2021 ila nipo tangu 2015 humu

Kuhusu ubobo kilichotokea ni ban takatifu
Shunie mimi ndio yule
 
Hapana Mkuu hii ndio ID yangu ya kitambo zaidi kuliko yoyote since 2019 huko japo zilikuwa merged ndio maana unaona joined 2021 ila nipo tangu 2015 humu

Kuhusu ubobo kilichotokea ni ban takatifu
Shunie mimi ndio yule
Sasa we mbona mpole ubobo alichangamka sana jamaniii kwa nini wameipa ban ubobo si wangeziunganisha tu na zote na kuipa jina moja la ubobo
 
Sasa we mbona mpole ubobo alichangamka sana jamaniii kwa nini wameipa ban ubobo si wangeziunganisha tu na zote na kuipa jina moja la ubobo
Hebu waeleze wao maana nililiomba hili kitambo sana

Kuhusu upole acha kwanza nipoe nitarudi kama mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…