SHETA hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar es salaam, CCM fanyeni vetting ya viongozi wa wakubwa

SHETA hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar es salaam, CCM fanyeni vetting ya viongozi wa wakubwa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Binafsi Sina chuki yoyote na SHETA ni kuwa naheshimu sana, ila Niseme wazi huyu bwana hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar

CCM heshimuni basi wananchi kidogo

Mnafanya mambo kishabiki mno.

Mnawapa watu dhaifu madaraka makubwa mno

Au ndo mnawapa madaraka ili muweze kuwaendesha na kupitisha mikataba na zabuni zenu kifisadi na Kwa ulaghai

SHETA ni msanii hajawahi kuwa hata balozi, mmeiba uchaguzi mkampa kura hewa na eti Leo SHETA ndo Meya wa Jiji la Dar es salaam

Jiji la Dar es salaam ndo lango la Tanzania, East Africa na nchi zote za maziwa makuu

Dar ina Fursa nyingi na changamoto nyingi

Leo mnampa SHETA ambaye ni mchanga kwenye uongozi, mnampa Jiji kubwa kama Dar es salaam
Screenshot_20251204-203516.png
 
Nyumbu huna akili serekali iliyopo unasema huitambui alafu unawachagulia mayor awe nani?

Kweli nyumbu ni msahaulifu sana, nyumbu anamuona mamba lakini ndani ya sekunde mbili anasahau na kusema ni gogo lile mwisho wa siku analiwa.
 
Binafsi Sina chuki yoyote na SHETA ni kuwa naheshimu sana, ila Niseme wazi huyu bwana hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar

CCM heshimuni basi wananchi kidogo

Mnafanya mambo kishabiki mno.

Mnawapa watu dhaifu madaraka makubwa mno

Au ndo mnawapa madaraka ili muweze kuwaendesha na kupitisha mikataba na zabuni zenu kifisadi na Kwa ulaghai

SHETA ni msanii hajawahi kuwa hata balozi, mmeiba uchaguzi mkampa kura hewa na eti Leo SHETA ndo Meya wa Jiji la Dar es salaam

Jiji la Dar es salaam ndo lango la Tanzania, East Africa na nchi zote za maziwa makuu

Dar ina Fursa nyingi na changamoto nyingi

Leo mnampa SHETA ambaye ni mchanga kwenye uongozi, mnampa Jiji kubwa kama Dar es salaam
View attachment 3511336
Nani alikuambia wanafanya vetting sikuizi? Not anymore
 
Binafsi Sina chuki yoyote na SHETA ni kuwa naheshimu sana, ila Niseme wazi huyu bwana hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar

CCM heshimuni basi wananchi kidogo

Mnafanya mambo kishabiki mno.

Mnawapa watu dhaifu madaraka makubwa mno

Au ndo mnawapa madaraka ili muweze kuwaendesha na kupitisha mikataba na zabuni zenu kifisadi na Kwa ulaghai

SHETA ni msanii hajawahi kuwa hata balozi, mmeiba uchaguzi mkampa kura hewa na eti Leo SHETA ndo Meya wa Jiji la Dar es salaam

Jiji la Dar es salaam ndo lango la Tanzania, East Africa na nchi zote za maziwa makuu

Dar ina Fursa nyingi na changamoto nyingi

Leo mnampa SHETA ambaye ni mchanga kwenye uongozi, mnampa Jiji kubwa kama Dar es salaam
View attachment 3511336
Mkuu unadhani shetta ameibukia tu kwenye udiwani from nowhere?, ANASTAHILI.
 
Ngoja a
Binafsi Sina chuki yoyote na SHETA ni kuwa naheshimu sana, ila Niseme wazi huyu bwana hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar

CCM heshimuni basi wananchi kidogo

Mnafanya mambo kishabiki mno.

Mnawapa watu dhaifu madaraka makubwa mno

Au ndo mnawapa madaraka ili muweze kuwaendesha na kupitisha mikataba na zabuni zenu kifisadi na Kwa ulaghai

SHETA ni msanii hajawahi kuwa hata balozi, mmeiba uchaguzi mkampa kura hewa na eti Leo SHETA ndo Meya wa Jiji la Dar es salaam

Jiji la Dar es salaam ndo lango la Tanzania, East Africa na nchi zote za maziwa makuu

Dar ina Fursa nyingi na changamoto nyingi

Leo mnampa SHETA ambaye ni mchanga kwenye uongozi, mnampa Jiji kubwa kama Dar es salaam
View attachment 3511336
Ngoja Aarikwe amsterdam kwenye mkutano mkuu wa mamea wa dunia alafu apewe nafas ya kuhutubia kutoka tz atoe boko
 
Back
Top Bottom