Sheria

Devi

Member
Jan 2, 2013
15
3
habari zenu wandugu,nilimaliza kidato cah nne mwaka juzi,na nilipanga tangu zamani kusomea sheria,tatizo ni kwamba matokeo hayakuja vile nilivyopanga iwe ila bado nina dhamira ya kusomea sheria,tatizo ni kila ninaemwambia ananiambia sheria ngumu na ajira yake pia ni ngumu kupatikana,wadau haya maneno ni kweli ama ndo kukatishana tamaa
Nawasilisha na natanguliza shukrani
 
habari zenu wandugu,nilimaliza kidato cah nne mwaka juzi,na nilipanga tangu zamani kusomea sheria,tatizo ni kwamba matokeo hayakuja vile nilivyopanga iwe ila bado nina dhamira ya kusomea sheria,tatizo ni kila ninaemwambia ananiambia sheria ngumu na ajira yake pia ni ngumu kupatikana,wadau haya maneno ni kweli ama ndo kukatishana tamaa
Nawasilisha na natanguliza shukrani

Hakuna ugumu, nenda kasome. Wengi sana wako OUT wanasoma sheria kutokea fani zingine. Ni nia ya kusoma ndilo la muhimu! hakuna university education ambayo ni rahisi!
 
Back
Top Bottom