Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

I doubt if it will ever come to pass because the legislation will be actually baseless.
 
Sheria huwa haiact kurudi nyuma, itaanza kuwa na effect tarehe na siku hiyo itakaposainiwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma, kwa hiyo wanajisumbua bure
Hiyo ni katika nchi nyingine sio hapa.
Sheria ya Bodi ya mikopo kwa wanafunzi mbona ilirudishwa nyuma.
 
Leo ndio nimejua nani alitaka kumwua lissu.

Dhambi hii itawatafuna hadi makaburini

Nawashauri kukaa na familia ya lisu , watubu na wasamehewe
 
Habari JF siasa.

Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.

Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.

Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.

Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.

Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?

Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.

Yangu macho!!
Sasa ww unaona ni haki kutaka urais huku upo nje ya nchi unayotaka kugombea urais?tutajuaje ww kweli umekunywa bendera yetu au umekunywa bendera ya mabeberu.Acheni unafki wakati mnaelewe sana ila mnafumba macho eti kwa sababu mnamchukia JPM.
 
Hebu dadavua, maana njuavyo mikutano yake ilikuwa kiduchu sana ikabidi aongeze push ups. Kumbe zilifika mil tatu na nusu, nikiamini ni mil mbili!!!?
Majibu mazuri wanayo hawa hapa
Kwamba wakati wengine wanahangaika usiku na mchana kutangaza kazi kubwa ya maend.jpg
 
Uwezo wa lissu kumiliki jukwaa na kushawishi Ni mkubwa sana.jpm hawezi shindana na lissu kamwe.
MR JPM akishaimba nyimbo za Stiglers amabayo haijaanza ujenzi, Flyover na ndege Sita za dreamliner basi hana jipya. Miradi michche ambayo mpaka sasa haina hata thamani ya Trilioni 5 kwa miaka minne.
 
natambua ya kuwa hizo sheria wanajitungia wenyewe tuu..

ila kwa upofu wa madaraka hawakumbuki,ya kuwa hawakuzaliwa na vyeo na wataviacha.!

wapi Nape,Mwigulu au wale wastaafu wanaolialia kuonewa na huku sheria walipitisha wenyewe!!
Wamesahau yaliyomkuta Lowasa mpaka leo hana hamu, ni mmoja wa wazee waliofanya monopolism ya vyombo vya dola akiamini miaka yote Vitamsaidia kufika mbele dhidi ya wapinzani. Hakuwahi kufikiria ipo siku atakuwa mpinzani na vyombo hivyo hivyo kwa nguvu ile ile vitamshughulikia. Akapigwa pini hata kwenda kwenye mazishi, akapigwa pini kifanya siasa za aina yoyote. Jasho likamtoka, mimacho akaitoa kama panya kwenye mlango kabanwa. wakambinya kisawasawa hatimae akaunga juhudi bila kupenda.

"He Who digieth the pit shall burry in it himself"
 
Wamejifunza katika uzee wao na bahati mbaya hawawezi kurekebisha chochote tena, its too late. Mungu ameamua kuwalipa sawa sawa na matendo yao.
 
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.

Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.


Vipi itamgusa huyu?? Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda
 
SIFA ZA KUGOMBEA URAIS ZIKO KWENYE SHERIA AU KATIBA?

Kama sifa ziko kwenye katiba watabadilishaje Sheria ili kutengua kifungu cha katiba
 
Habari JF siasa.

Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.

Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.

Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.

Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.

Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?

Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.

Yangu macho!!
Kama ni kweli hiyo siyo mammbo ya Firauni! Nchi nyingi duniani kuna sheria kama hiyo na hata kupiga kura. Let us not transmit our ignorance to the society.
 
Wapinzani kwa jipya moyo ,nakumbuka baada ya kipigo cha October 2015 mliampa hamuendi kupiga kura tena ,sasa hii nguvu ya Azam energy mmeitoa wapi
Ha ha mshujuruni kikwete kina a nape makamba kwa kukwapua ushindi Magufuli ni bad test na sasa ni more bad test hata kula milioni moja hata pats muuaji mkubwa
 
Back
Top Bottom