Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Namba kuuliza kidogo jamani. hivi sheria zote huwa zinaandikwa kwa kiingereza au zipo nakala zake za kiswahili? Nauliza hivi maana wananchi wengi hatujui sheria, kusoma katiba au hata haki zetu. najua baadhi tunaweza kusoma na kuelewa kiingereza hapo lakini sijui mwanandoa wa kule kwentu Nkasi kama anaweza kuelewa kilichoandikwa.
Namba kuuliza kidogo jamani. hivi sheria zote huwa zinaandikwa kwa kiingereza au zipo nakala zake za kiswahili? Nauliza hivi maana wananchi wengi hatujui sheria, kusoma katiba au hata haki zetu. najua baadhi tunaweza kusoma na kuelewa kiingereza hapo lakini sijui mwanandoa wa kule kwentu Nkasi kama anaweza kuelewa kilichoandikwa.
ni kweli ndugu hata mimi sina moja ni bora wajuvi waje hapa watujuze,maana mimi nimeolewa ila sijui haki zangu zaidi ya za ndani tu.
Inaonekana kama Tanganyika ilikuwa na maana ya Mainland Tanzania, na inaonekana kama Zanzibar kuna different set of laws.
... kuhusu mtanzania anayeolewa na mgeni, mgeni anayeoa Mtanzania hayako wazi...labda tusome zaidi ili tuielewe
Mwanakijiji and others
I wonder kama mtu umeishi na mwanaume/mwanamke na mna watoto, lakini hakukuwa na sherehe ya ndoa, wala ndoa haijasajiliwa. Isipokuwa kulikuwa na barua ya posa. Mtu akitaka kujikwamua kwenye hii, kwa wote mwananume na mwanamke, what are the legal implications, kwenye mambo ya custody ya watoto na mambo ya kugawana property kama ipo.
PART II
(b) Restrictions on Marriage
13.-(1) No person shall marry who, being male, has not attained Minimum the apparent age of eighteen years or, being female, has not attained age the apparent age of fifteen years.
HEBU SOMENI HUU UCHAFU!!!! HIVI VITOTO VINARUHUSIWAJE KUFUNGISHWA NDOA????