we muoe tuJe sheria ya ndoa tanzania inasemaje kuhusu bint chini ya miaka 18 na juu ya miaka 16 ( 16=<18 )aliefeli shule? Akiwa hana cha kufanya yafaa kuolewa? If no kwanini? Afanyeje mtaani?
Miaka 16 anaolewa kwa ridhaa ya wazazi wake lakni kama bado ni mwanafunzi sheria ya elimu itakukamata.Ikiwa mtoto huyu hana wazazi,mahakama yaweza kutoa idhini.Je sheria ya ndoa tanzania inasemaje kuhusu bint chini ya miaka 18 na juu ya miaka 16 ( 16=<18 )aliefeli shule? Akiwa hana cha kufanya yafaa kuolewa? If no kwanini? Afanyeje mtaani?