andrew kisanga
Member
- Apr 27, 2013
- 53
- 23
wadau naombeni mnisaidei kupata hii sheria ya mirathi maana kuna vitu vinanichanga sana..!
i) ya dini
ii)ya nchi,
na
iii)kikabila je zote hizi zinasemaje na mwongozo ukoje ikiwa baba hajandika mirathi kwa watoto..!
i) ya dini
ii)ya nchi,
na
iii)kikabila je zote hizi zinasemaje na mwongozo ukoje ikiwa baba hajandika mirathi kwa watoto..!