Sheria ya Manunuzi yaua ‘upigaji dili’

Sheria ya Manunuzi yaua ‘upigaji dili’

inabidi serikali ijiandae pia kulipa bill zake kwa wakati. sio mtu unanunua kwa bei ya soko ila malipo baada ya miezi sita. hamna atakaye fanya biashara hapo.
 
Mkuu, ni kazi rahisi tu. Kalamu ya kuandikia inaweza kuuzwa Shs mia tano mitaani. Lakini utakuta kwenye manunuzi ya serikali bei yake ni Shs elfu mbili!
Serikali itakuwa inaingia sokoni na kusaka vitu vya bei nafuu?????????????
watu wa manunuzi watakuwa wanashinda sokoni au
 
Mkuu, ni kazi rahisi tu. Kalamu ya kuandikia inaweza kuuzwa Shs mia tano mitaani. Lakini utakuta kwenye manunuzi ya serikali bei yake ni Shs elfu mbili!
Nadhani kuna sababu kwa nini inakuwa elfu mbili seriklini. Mkandarasi anapo quote bei zake, huwa anaweka faida at the end the total costs. Kwa mfano: Nikipata contract ya kufundisha, say at a certain University, nahesabu nauli, per diem; then at the end of that calculation naweka fedha ya kutoa lectures siyo ile per diem eti nisave hiyo ndiyo uwe ujira wangu, hapana. NASIKIA WAKANDARASI HAWAFANYI HIVYO FAIDA ANAIPATA KUTOKANA NA KALAMU YA ELUFU! Am i right?
 
Nadhani kuna sababu kwa nini inakuwa elfu mbili seriklini. Mkandarasi anapo quote bei zake, huwa anaweka faida at the end the total costs. Kwa mfano: Nikipata contract ya kufundisha, say at a certain University, nahesabu nauli, per diem; then at the end of that calculation naweka fedha ya kutoa lectures siyo ile per diem eti nisave hiyo ndiyo uwe ujira wangu, hapana. NASIKIA WAKANDARASI HAWAFANYI HIVYO FAIDA ANAIPATA KUTOKANA NA KALAMU YA ELUFU! Am i right?
Wanaouza mia tano hawapati faida?
If anything, serikali inanunua kwa wingi na inastahili discount!
 
Serikali itakuwa inaingia sokoni na kusaka vitu vya bei nafuu?????????????
watu wa manunuzi watakuwa wanashinda sokoni au
Chukua mfano wa stationaries. Kwa nini Masumini awauze wino wa printer kwa laki moja lakini kwa serikali iwe laki na nusu?
Kila mtu anajua bei zinakuwa inflated ili watu waibe. Serikali inanunua vitu kwa wingi. Instahili kupata discount badala ya kuuziwa bei kubwa zaidi.
 
Wanaouza mia tano hawapati faida?
If anything, serikali inanunua kwa wingi na inastahili discount!
Wanapata faida, of what margin? with what investment? Mfano: siwezi kuweka milioni 200 Tsh katika kazi nikapata milioni moja! Never! Hao wa miatano ni wachuuzi wa mama ntilie! Mantiki ni hiyo nadhani Sibonike
 
Ukiangalia kwa makini utagundua kwamba tatizo si sheria. Sheria ya manunuzi Tz imebadilishwa mara 3 katika kipindi kifupi sana. Ipo sheria ya 2001, ikaja sheria ya 2004 sasa ipo sheria ya 2011 na ipo mbioni kubadilishwa.

Dawa ya kuondokana na watendaji wenye hila na tabia ya wizi kwa njia ya kutumia sheria ya manunuzi ya umma ni kuweka adhabu kali na kweli iwe inafuatwa. Kama ikitokea wakosaji wanaovumja sheria ya manunuzi wanapelekwa kufungwa gerezani miaka 20 wataacha kabisa. Vinginevyo tutabadilidha sheria kila siku lakini haitatusaidia kama tunavyofikiri.

Wapo watendaji wameelimishwa vya kutosha kuhusu sheria ya manunuzi ya umma, aidha kuna maelekezo na taarifa mbalimbali kutoka mamlaka mbalimbali zinazohusiana na manunuzi ya umma lakini wameendelea na tabia za wizi kama unaofanywa na uongozi wa Chuo cha Ufundi Arusha.

Bila kuweka adhabu kali kwa watendaji wenye tabia ya wizi, nia ya kuondokana na tatizo la wizi wa mali ya umma kutokana na watendaji wasio na maadili na wasio waaminifu halitafanikiwa.
 
“The government belongs to the poor people of the country. We are custodian of people's hope. For whom should the government be? For educated people or few others. Government should be for the poor. If rich want to educate their children, they can send anywhere. If rich fall ill, hundreds of doctors are at service. So the foremost responsibility of the government should be to listen to the poor and work for them. If we do not work for the poor, the people will never pardon us.”
 
Sehemu za sheria ya manunuzi 2011

Serikari imezitika wizara kuwa na policy teams wenye kazi ya ku review manunuzi this entails monitoring market prices, kuweka policy za taasisi nationally (it could cap on prices of the products expenditure), udhibiti wa wafanyakazi wa procurement za serikari etc. Halafu eti unasikia TANESCO wanakwenda kununua vifaa kwa kupoozea umeme nje ya nji eti sheria inalalamikiwa ndio tatizo.

Sheria hiyo hiyo inataka mashirika kutoa national preference kwenye makampuni ya ndani kwemye manunuzi yake wengi awafanyi hivyo, kuna code of conduct, evidence za bei kuhakikisha value for money, wanataka competition tendering kuhakikisha serikari inapata value, disciplinary action against public officers wasiofuata masharti.

Jumlisha na regulations kutoka PPRA za mwaka 2013, majukumu yao kusimamia sheria, kuna swala la kutakiwa kuonyesha accounts zikakuguliwe (kwenye ukaguzi wa accounts auditor anatakiwa aangalie market trend ya prices enough kusema kama manunuzi sio sahihi iwapo kuna huge variations hicho ni kielelezo cha ufasadi kinataka uchunguzi wa shirika, kuna PPRA naye anakazi hiyo hiyo), kuna blacklisting ya makampuni yasiyo na sifa nadhani ina maana fisadi yeyote au mtu aliearibu awezi ku qualify kufanya kazi tena na serikari za kibiashara.

In short mambo yote wanayotaka kuongeza yapo and more kwenye sheria ya manunuzi 2011 and regulations 2013 in relation to fighting corruption and other forms of ill practices na regulator wawili juu sijui watatu ukiongeza na policy team ya wizara.

Tatizo wataalamu hawana mbinu ya kuhakikisha sheria inafanya kazi na vyombo vya dola kutofanya kazi lakini sheria si tatizo kabisa; only in Tanzania kweli elimu ya kukariri ni shida.
 
Wanapata faida, of what margin? with what investment? Mfano: siwezi kuweka milioni 200 Tsh katika kazi nikapata milioni moja! Never! Hao wa miatano ni wachuuzi wa mama ntilie! Mantiki ni hiyo nadhani Sibonike
Kuna cases za kujustify unayosema. Mtu mwenye tender ya ku supply stationaries ana invest kitu kikubwa zaidi ya kuwa na store?
Toka store hiyo wanauza toner kwa laki moja na inamchukua muda mrefu kumaliza stock ili aagize consignment nyingine. Serikali inanunua kwa wingi na kumpa nafasi ya kuzungusha hela haraka.
Najua kuna masuala ya LPO na kuchelewesha malipo lakini tofauti kubwa ya haiwezi kueleza hayo zaidi ya wapiga dili
 
Kuna cases za kujustify unayosema. Mtu mwenye tender ya ku supply stationaries ana invest kitu kikubwa zaidi ya kuwa na store?
Toka store hiyo wanauza toner kwa laki moja na inamchukua muda mrefu kumaliza stock ili aagize consignment nyingine. Serikali inanunua kwa wingi na kumpa nafasi ya kuzungusha hela haraka.
Najua kuna masuala ya LPO na kuchelewesha malipo lakini tofauti kubwa ya haiwezi kueleza hayo zaidi ya wapiga dili
You are right, nimeongea na mkandarasi akasema hivyo hivyo. Faida ni ndogo lakni serikali inaweza kukaa na hela zako miaka! Ni kama hela zimepotea. Ni sawa kama tunapokopa mitaani. Ukikopa anakuwkea 50% more, ukilipa cash, 50% less!
 
UONGO MTUPU! Mbona ununuzi wa ndege haukufuata sheria hii? Mbona mkataba wa kutengeneza passport mpya haikufuata sheria hii!?

Kwanini huyu mtu anakiuka taratibu za Serikali!?
 
Back
Top Bottom