Watumishi kwanini mnachukua mkopo Kwa vijikampuni uchwara kama hivyo???Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Kila nikiwaomba wanipe balance ya mkopo wangu ili niwalipe deni lao hawataki. Hvyo nahtaji msaada wenu nifanyaje
Tazama salary sleep yako,au wambiye wakuoneshe daftari la marejesho.Haiwezekani wasikupe balansi.Vinginevyo wewe mtata.Nimeongea na watu wa maboto fata utaratibu.Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa Maboto. Kila nikiwaomba wanipe balance ya mkopo wangu ili niwalipe deni lao hawataki. Hivyo nahitaji msaada wenu nifanyaje
Nimewahi kukutana na scenario ya jinsi hii kwenye kulipa mkopo wa Solar system ndogo kwa ajili ya makazi yangu yaliyopo nje kidogo ya network za TANESCO. Solar panel yenye taa 3, betri na eneo la kuchajia simu 1 - bei kununua cash ilikuwa kama laki 3 na nusu, mkopo miaka 4 unalipia jumla kama laki 9 hivi! Unalipia kama 19,000 kila mwezi kwa miaka 4!Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa Maboto. Kila nikiwaomba wanipe balance ya mkopo wangu ili niwalipe deni lao hawataki. Hivyo nahitaji msaada wenu nifanyaje