Sheria ya kukagua chumba cha hoteli inaniudhi

Sheria ya kukagua chumba cha hoteli inaniudhi

Forecaster

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2013
Posts
209
Reaction score
121
Kuna hoteli huwa napenda kushukia mara kwa mara ktk safari zangu za kikazi! Leo wameniudhi Sana ile katika Nakabidhi funguo, mhudumu anasema akakague chumnba kwanza! Sasa nafikiria wanafikiri nimewaibia nini! Taulo, Tv, au nini? yani wameniudhi! na sitaenda tena ktk hoteli Yao!! Wamiudhi!
 
Kuna hoteli huwa napenda kushukia mara kwa mara ktk safari zangu za kikazi! Leo wameniudhi Sana ile katika Nakabidhi funguo, mhudumu anasema akakague chumnba kwanza! Sasa nafikiria wanafikiri nimewaibia nini! Taulo, Tv, au nini? yani wameniudhi! na sitaenda tena ktk hoteli Yao!! Wamiudhi!
Mkuu Powa na ululize wahka, hiyo ni kawaida na taratibu za Hotel zetu...hata huko uendako tena kuna nidhamu hiyo!!
 
nafikri baadhi ya wateja wana tabia za kuiba vitu hotelini. Hao ndio wanatufikisha kwenye hali ya kukaguliwa wateja wanapoaga. hata hivyo kama hujaiba kitu huna haja ya kuudhika japo kibinadamu inauma na inaonekana kama hawana imani na wewe. Pengine ilibidi waweke tangazo kuwa kila mtaja anapoaga itabidi akaguliwe ili wateja wasipate mfadhaiko
 
Kuna hoteli huwa napenda kushukia mara kwa mara ktk safari zangu za kikazi! Leo wameniudhi Sana ile katika Nakabidhi funguo, mhudumu anasema akakague chumnba kwanza! Sasa nafikiria wanafikiri nimewaibia nini! Taulo, Tv, au nini? yani wameniudhi! na sitaenda tena ktk hoteli Yao!! Wamiudhi!

Hapana, hakuona mchepuko wakati unatoka na usiku walisia kelele za kimahaba isijekuwa umeacha msala.
 
Kwa halo ilivyo sasa uaminifu hakuna, nilishuhudia guest moja dada WA mapokezi alikuwa analalamika mteja wake aliyempangisha kaiba panga boi, nilipo amini siyo wateja wote wanakuja kwa Nia nzuri wengine Ni wezi wakishindwa kuwaibia wateja wanaishia kuiba vitu vya gesti, hivi ushawahi kujiuliza kwa nini kandambili nyingi za guest zimekatwa pembeni
 
Acha upuuzi dogo. Usiku umegegeda na mikelele yenu imekuwa kero mpaka kaunta. Leo unaondoka, gegedo halionekani na rumu kimyaaaa! Usiwaachie zali bana. Ngoja wacheki.
 
Usione vibaya. Wateja wenzetu ndio walioharibu

Yani wameniudhi kweli! Sijui walifikiria nimewaibia!nimearibu kitu au sijui nini! Niliwapasha palepale siendi tena ktk hoteli Yao japo kwa wastani Ni pazuri, nimepachukia ghafla!
 
Hiyo ni Guest House!
Huenda walikuona ukiingia na malaya halafu hawajamwona akitoka, walihofia usijekuwa umemnyonga ukamficha uvunguni!
.rene mbona unacomment kwa hasira hivyo.as if jamaa ni mzinifu saana.ha ha ha raha ya jf baana ndo hii
 
Yani wameniudhi kweli! Sijui walifikiria nimewaibia!nimearibu kitu au sijui nini! Niliwapasha palepale siendi tena ktk hoteli Yao japo kwa wastani Ni pazuri, nimepachukia ghafla!

Hebu fanya tathimini ya siku nyingine ulizokaa hapo ilikuwaje? Mbona walikuwa hawakukagui mwanzoni ila ndio wameanza jana?

Kwenye hoteli/lodge sio lazima uibe! Hata usafi pia ni muhimu, wateja wengine wakitoka hawaiachi room katika hali ya usafi! Wanachafua mashuka, mipira ya kiume wanaitupa hovyo hovyo! Mataulo yapo ila wanajifutia mashuka maji, wengine wanalewa wanalala na viatu. Ni tafrani tupu!

Ishu nyingine ni hawa dada zetu wanaotumia mwili kama mtaji! Siku wako MP ila bado wanajiuza, wahudumu wanakuta shuka zimegeuka SIMBA! Madoa ya damu n.k..pia vitendo vya kinyume na maumbile watu wanaachia haja vitandani na kuchafua room!

Pole kwa usumbufu, ila sisi watumiaji wa hizo huduma za hoteli tukijali na kuheshimu mazingira ya room tunazopangishiwa hao wahudumu hawatatuletea usumbufu wa kutukagua! J'pili njema chief!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Kuna hoteli huwa napenda kushukia mara kwa mara ktk safari zangu za kikazi! Leo wameniudhi Sana ile katika Nakabidhi funguo, mhudumu anasema akakague chumnba kwanza! Sasa nafikiria wanafikiri nimewaibia nini! Taulo, Tv, au nini? yani wameniudhi! na sitaenda tena ktk hoteli Yao!! Wamiudhi!
Hapana Mkuu una tabia za kuondoka Alfajiri sana na unaokota vyngu doa unavifatua halafu unavirusha hesabu yao. So unaawaachiaga msala vinapoamka vinaletea wahudumu noma. Mbona nakufahamu sana Mshikaji
 
Kuna hoteli huwa napenda kushukia mara kwa mara ktk safari zangu za kikazi! Leo wameniudhi Sana ile katika Nakabidhi funguo, mhudumu anasema akakague chumnba kwanza! Sasa nafikiria wanafikiri nimewaibia nini! Taulo, Tv, au nini? yani wameniudhi! na sitaenda tena ktk hoteli Yao!! Wamiudhi!

Ni vzuri huenda ukaua ikawaachia msala
 
Sasa ukienda Africa kusini ndiyo kabisa utalia manake unaambiwa usubiri pale reception wakati security anaenda kukagua chumba
 
Back
Top Bottom