raymond cheng
New Member
- Dec 4, 2011
- 1
- 0
Sheria hiyo imepitishwa na kusainiwa na rais hali watu wengi ikiwemo mimi hatujarithika na haraka haraka ya kupitishwa kwa sheria hiyo inanichanganya .Mlio elewa tafadhali nijuzeni katika hili otherwise nimefurahi sana kujiunga na jamii forum tafadhali jamani nipokeeni!