Shadida Salum
Journalist at JamiiForums
- Sep 11, 2020
- 69
- 104
Kifungu cha 24 kifungu kidogo cha 4 kinaeleza kuwa; Iwapo Msajili wa Vyama vya Siasa ataridhika kuwa mgombea ambaye yeye mwenyewe, wakala wake au chama chake cha siasa kimefanya vitendo vilivyokatazwa na Sheria ambapo kwa hilo mgombea huyo au chama chake kimepoteza sifa ya kushiriki kwenye mchakato wa uteuzi, msajili atafanya yafuatayo:
(a) Kama ni mgombea, Msajili atakitaarifu chama chake kuteua mgombea mwingine kama mbadala wa huyo aliyekosa sifa.
(c) Kama ni chama, Msajili atakitaarifu chama hicho kuwa kimezuiliwa kumdhamini mgombea ndani ya Kata, Jimbo au nafasi ya Urais.
(a) Kama ni mgombea, Msajili atakitaarifu chama chake kuteua mgombea mwingine kama mbadala wa huyo aliyekosa sifa.
(c) Kama ni chama, Msajili atakitaarifu chama hicho kuwa kimezuiliwa kumdhamini mgombea ndani ya Kata, Jimbo au nafasi ya Urais.