Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Habari Wakuu,
Naomba mwenye reference ya wapi naweza kupata sheria ya dhamana atoe hapa, au kama anayo aweke hapa, maana nimesoma habari ya Lema na kushtuka pale hakimu alipogoma kukubali dhamana bila kutoa sababu yoyote. Je hiyo ni sahihi?
Hii inaweza ikawa point nyingine kwenye katiba....Haki wa kushtakiwa haraka au kupata dhamana!
Naomba mwenye reference ya wapi naweza kupata sheria ya dhamana atoe hapa, au kama anayo aweke hapa, maana nimesoma habari ya Lema na kushtuka pale hakimu alipogoma kukubali dhamana bila kutoa sababu yoyote. Je hiyo ni sahihi?
Hii inaweza ikawa point nyingine kwenye katiba....Haki wa kushtakiwa haraka au kupata dhamana!