Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Sioni logic yake labda tupewe maelezo
Ingawa tunaichukia serikali ila pia tutumiage akili tunapoamua kupost vitu, saa zingine badala ya serikali ionekane wajinga wewe unayeweka taarifa ndio unaonekana mpumbavu.
Ww Jamaa Kwa Nn Hautuwekei Hiyo Sheria Hapa Tuione?
Kama vitambulisho vya machinga sindio!Kuna mtu kaikamata taasisi ya usafirishaji anataka kupiga ela ya kofia ngumu
Kwani watalazimishwa kununua sehemu moja wote?Kuna mtu kaikamata taasisi ya usafirishaji anataka kupiga ela ya kofia ngumu
Ndio manakeKama vitambulisho vya machinga sindio!
Kuna mtu kaikamata taasisi ya usafirishaji anataka kupiga ela ya kofia ngumu
Kama ni kweli serikari yetu itakuwa ya kipumbavu sana kuliko serikari ya Namibia na Burundi, Airbag zinakazi gani mpaka wawatungie sheria za kuwatoa majasho kichwani watu wapate mapunye?
Sijaiona ndio maana nikatanguliza maneno haya "Kama ni kweli"Hiyo Sheria Umebahatika Kuiona?