kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,663
Wanasheria Naomba msaada
Mimi ni raia nimefanya muamala kutoka kwenye line yangu ya Vodacom kwenda Bank leo ni siku ya 5 huo muamala haujafika kwenye account yangu
Nimepiga simu sana bank husika sijapata msaada Je hii kisheria imekaaje? Je naweza kuwashitaki haya makampuni?
Mimi ni raia nimefanya muamala kutoka kwenye line yangu ya Vodacom kwenda Bank leo ni siku ya 5 huo muamala haujafika kwenye account yangu
Nimepiga simu sana bank husika sijapata msaada Je hii kisheria imekaaje? Je naweza kuwashitaki haya makampuni?