Mawazo ya ki-Korea Korea.Unapiga picha ili iwwje?
Unazipeleka wapi hizo picha?
Wewe no Chama gani?
Mjumbe ameomba tangazo la Katazo la kupiga picha liongezwe lisokeme kwa urahisi. Hayo maswali yanatoka wapi mkuu?Unapiga picha kwa lengo gani hasa?
Unazipeleka wapi hizo picha?
Wewe ni raia halali wa Tanzania?
Wewe ni Chama gani?
Kwan watu hupiga picha kwa dhumuni gani ? Acha upimbi picha hua inahifadhi kumbu kumbu yako na kwa vizazi vyako piaUnapiga picha kwa lengo gani hasa?
Unazipeleka wapi hizo picha?
Wewe ni raia halali wa Tanzania?
Wewe ni Chama gani?
Wale Vijana wa SUMA JKT wakikuona unapiga picha hata kukufata wakuonye ila wanakusubiri ukishuka wakukalie koooniiWadau, kuna hii sheria ya kukatazwa kupiga picha katika kivuko. Wengi hatufahamu na imekuwa mtihani mkubwa ukikamatwa.
Inabidi kuwe na matangazo makubwa katika kila eneo itasaidia kuepusha yanayotokea baada kukamatwa.
Watu wahuni sana, hapo panavutia kupiga picha eti mijitu inazuiaWadau, kuna hii sheria ya kukatazwa kupiga picha katika kivuko. Wengi hatufahamu na imekuwa mtihani mkubwa ukikamatwa.
Inabidi kuwe na matangazo makubwa katika kila eneo itasaidia kuepusha yanayotokea baada kukamatwa.