KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Naomba kujua sheria inasemaje ukitaka kumng'oa CAG?Hasa kwa aliyemteua kwa maana Rais,Je sheria inasemaje hapo kuhusu kumtoa katika madaraka yake?.
Maana naona kama kuna figisu! inanza na mimi naanza kuwaza kwa sauti!Ni kama Speaker anaweza kuwa yeye ni wakukoleza moto ila mwenye chungu ndiye kamtuma lakini yeye mwenye chungu haruhusiwi kukiepua!
Nawaza kwa sauti lakini!
Maana naona kama kuna figisu! inanza na mimi naanza kuwaza kwa sauti!Ni kama Speaker anaweza kuwa yeye ni wakukoleza moto ila mwenye chungu ndiye kamtuma lakini yeye mwenye chungu haruhusiwi kukiepua!
Nawaza kwa sauti lakini!