Sheria inasemaje? Ukimtuhumu mtu, ukimtangaza katika vyombo vya habari bila ushahidi wala kidhibiti?

Mafunguo 88

Senior Member
Dec 21, 2016
155
184
Nimejaribu kufikilia sijapata jibu anaejua atusaidie jamani leo kwao kesho kwetu, mfano:-

Waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya lakini mda huo huo wamekamatwa, wengi wao bila vidhibiti wa ushahidi wa kuaminika kuwa ni kweli wanafanya biashara hiyo. Je? alie watuhumu na kuwatangaza kwenye vyombo vya habari wakati hana uwezo wa kuthibitisha tuhuma hizo yuko sahihi kisheria?


Nimefuatilia saaaana Mh Paul Makonda anamtaja saaaana Mh JPM na anamtukuza saaaaaaaana katika Speech zake Je? ni kutaka kujionesha kuwa ndie kiongozi mnyenyekevu kuliko woote na mtiiifu kuliko woooote na Mwema mwenye uchungu na Dar kuliko wooote mbele ya Mh JPM.

Hivi operations mbalimbali zinaendeshwaje ndani ya mkoa, mfano mkoa una kamanda mkuu wa polisi, kamishina wa jeshi la polisi, magereza, wakuu wa Jwtz, wakuu wa takukulu, linapotokea jambo linalotakiwa kufuatiliwa mfano na takukuru au jeshi la polisi mkuu wa mkoa au wilaya anaweza kuamlisha tuu na kuongoza operation husika akiwa msitali wa mbele huku wataalam waliosomea wakiwa nyuma na mufata maelekezo toka kwa mwana siasa?

Kama ndivyo kazi ya hivi vyombo ni ipi?

Hivi hii vita inayoendelea ni kweli Mh Paulo ameamua kupambana mwenyeweeeee? au kwa vile Paulo n mwanasiasa mamlaka zake za uteuzi zimemtuma ili waweze kuwadhoofisha baadhi ya washindani wao kisiasa, au kulipizana visasi na chuki?

Hivi vigogo wanaoaminika kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya ndio hao tuuu Mbowe, Azan na Manji? Mh kikwete alisema kua na viongozi wa dini wamo which means ni wengi leo katajwa kiongozi mmoja tuu tena anaeonekanaga mara nyingi kwenye mikutano ya UKAWA hivi kinachoendelea nchini ni Vita dhidi ya madawa ya kulevya? au kuna vita nyingine ambayo hatujaijua?

Madawa ya kulevya n tatizo kwa Tz au Dar pekeeee?

Aidha naipongeza serikali kwa vita dhidi ya madawa ya kulevya tumuunge mkono kila alie na dhamira ya dhati ya kupambana na janga kama hili lililoogopwa hata wenye mamlaka ya juuu zaidi.
 
Nimejaribu kufikilia sijapata jibu anaejua atusaidie jamani leo kwao kesho kwetu, mfano:-

Waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya lakini mda huo huo wamekamatwa, wengi wao bila vidhibiti wa ushahidi wa kuaminika kuwa ni kweli wanafanya biashara hiyo. Je? alie watuhumu na kuwatangaza kwenye vyombo vya habari wakati hana uwezo wa kuthibitisha tuhuma hizo yuko sahihi kisheria?


Nimefuatilia saaaana Mh Paul Makonda anamtaja saaaana Mh JPM na anamtukuza saaaaaaaana katika Speech zake Je? ni kutaka kujionesha kuwa ndie kiongozi mnyenyekevu kuliko woote na mtiiifu kuliko woooote na Mwema mwenye uchungu na Dar kuliko wooote mbele ya Mh JPM.

Hivi operations mbalimbali zinaendeshwaje ndani ya mkoa, mfano mkoa una kamanda mkuu wa polisi, kamishina wa jeshi la polisi, magereza, wakuu wa Jwtz, wakuu wa takukulu, linapotokea jambo linalotakiwa kufuatiliwa mfano na takukuru au jeshi la polisi mkuu wa mkoa au wilaya anaweza kuamlisha tuu na kuongoza operation husika akiwa msitali wa mbele huku wataalam waliosomea wakiwa nyuma na mufata maelekezo toka kwa mwana siasa?

Kama ndivyo kazi ya hivi vyombo ni ipi?

Hivi hii vita inayoendelea ni kweli Mh Paulo ameamua kupambana mwenyeweeeee? au kwa vile Paulo n mwanasiasa mamlaka zake za uteuzi zimemtuma ili waweze kuwadhoofisha baadhi ya washindani wao kisiasa, au kulipizana visasi na chuki?

Hivi vigogo wanaoaminika kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya ndio hao tuuu Mbowe, Azan na Manji? Mh kikwete alisema kua na viongozi wa dini wamo which means ni wengi leo katajwa kiongozi mmoja tuu tena anaeonekanaga mara nyingi kwenye mikutano ya UKAWA hivi kinachoendelea nchini ni Vita dhidi ya madawa ya kulevya? au kuna vita nyingine ambayo hatujaijua?

Madawa ya kulevya n tatizo kwa Tz au Dar pekeeee?

Aidha naipongeza serikali kwa vita dhidi ya madawa ya kulevya tumuunge mkono kila alie na dhamira ya dhati ya kupambana na janga kama hili lililoogopwa hata wenye mamlaka ya juuu zaidi.


Waulize chadema, wao ndiyo waliotangaza ,,list of shame" Mwembe Yanga, isitoshe walitaka Majina yote ya Mapapa yatangazwe na siyo vidagaa, sasa Mapapa wauza unga a.k.a Mbowe ndiyo hayo mnayo huko chadema!
 
Kumtaja mtu hadharani tena kwenye media tayari ni sehemu ya hukumu. Hii ilidhihirishwa hata na Waziri mwenye dhamana na Wasanii kuwa kwa kumtaja tu tayari umemuharibia soko lake la sanaa, ajabu ni kuwa akaibuka Mkuu Sana akampa kichwa Makonda! Yetu macho & masikio
 
Hivi makonda hana issue nyingine ya maana ya kufanya sasa akaviachia vyombo husika mambo ya madawa?
 
Viongozi wa awamu hii wakurupukaji na wanaongoza kibabe ndio maana mawaziri na watendaji wangazi mbalimbali wanafanyakazi kiuoga na wengine wakiachia ngazi kwa kutishwa tshwa na wanasiasa tuliowapigia kura kuja kutukomoa
 
mbona hawakusema wamewakamata na kete ngapi? na mahari gani? na mda gani?
Hayo maswali yote yatajibiwa mahakamani mkuu!
Huko ndiko ushahidi utakapo tolewa Na ndipo hakimu ataamua kulingana Na huo ushahidi Kama kweli hao jamaa wameonewa au ngada ndio inawapa jeuri humu mjini!!
 
tusidandie maneno ya waandishi wa habari ila tufanye tafakari
-Katiba, Sheria na Kanuni vinamtambua RC ni mwenyekiti wa kamati ya usalama-mkoa wala siyo mtu wa mtaani kama konda wa daladala kwa hiyo anaweza kumwita yeyote ahojiwe juu ya swala la ulinzi na usalama.
-Anawaita watuumiwa na wala hajahukumu ila wanaitwa kwa mahojiano juu ya taarifa walizonazo kuhusu yeye, kampuni yake, wafanya kazi wake, wateja wake n.k na ndo hao matajiri walioitwa.
-Kwenye swala la kuharibu maisha na future ya vijana haitakiwi kuangalia uso wa nyani maana madhara yake ni makubwa kwa taifa la kesho
 
Yeye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ktk mkoa wake.

Hatoacha mpaka nanyi mnaojihusisha hata kuwatetea wauza unga mkome biashara hiyo ya kiharamia
Nikutetee wewe muuza unga kwani sina akili????
 
Kuna sheria za madhara au law of tort ambapo unaweza kumshitaki MTU kwa kumharibia jina lake kwenye jamii au kumdharirisha au kumshushia hadhi mbele ya jamii this is called defamation.
 
Back
Top Bottom