waandikie remider letter nyingi uwezavyo... uwe n ushahidi kuwa ulifuatilia n hukupata hukumu. angalia kama ni lazima uwe na hukumu ndiyo uombe rufaa etc....Cma wanapochelewesha kutoa nakala ya hukumu kwa kipindi cha mpaka miezi 3 sasa. Je nini waweza kufanya?
Kama usipowaandikia hukumu inakuwa ni batili au?waandikie remider letter nyingi uwezavyo... uwe n ushahidi kuwa ulifuatilia n hukupata hukumu. angalia kama ni lazima uwe na hukumu ndiyo uombe rufaa etc....