Sheria inasemaje: Kubambikiwa makosa

parabeva

Member
Apr 15, 2012
8
1
Sheria inasemaje kama mpelelezi kabadilisha exhibit,na kuweka ya kwao,na kukulazimisha ukubali ni ya kwako?Mahakamani mtu anaweza akatumia sauti aliyerekodi akitishiwa kituo cha polisi kama ushahidi?
 
Ndugu,

Kama umebambikiwa mashtaka au kulazimishwa, ukifika mahakamani una nafasi ya kukataa ulichosema polisi ili kuweka kumbukumbu sawa
 
Back
Top Bottom