Waheshimiwa wana wa nchi napenda kuwajuza kuwa sherehe za kumbu kumbu ya kuanzishwa kwa UVCCM na kutimiza miaka 31 zitafanyika tabora mwishoni mwa mwezi ujao na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa JK. karibuni sana Tabora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.