Sherehe za miaka 53 ya muungano; Je, tutasikia cheche za Rais Magufuli?

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
36,155
29,677
Tarehe 26/4/2017 Tanzania itaadhimisha miaka 53 ya muungano wa kipekee duniani ambao umedumu kuliko miungano mingi.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni ...miaka 53 ya Muungano; Tuulinde na Kuuimarisha, Tupige Vita Dawa za Kulevya na Kufanya Kazi kwa Bidii.

Kulingana na kauli mbiu hii na yale yaliyojiri baada ya Makonda kuwataja hadharani wahusika wa madawa ya kulevya kiasi cha kuandamwa sana ili ang'olewe lakini Magufuli akatoa msimamo thabiti.

Je Mheshimiw Rais atakuja na cheche gani dhidi ya wauza ngada mashuhuri?

Suala la madawa ya kulevya limeathiri pande zote za muungano tena inawezekana kwa kiasi kikubwa kwa upande wa Zanzibar.
 
Kuna wadau wengi sana humu wanataka kusikia kauli za Magufuli.

Cc: BAK
 
Makonda : Tupige vita dawa za kulevya:

JPM : Tufanye kazi kwa bidii (Hapa kazi tu)

Shein: ...................................?


Waliobuni hiyo kauli mbiu walitaka kumfurahisha JP na Makonda.
 
Makonda : Tupige vita dawa za kulevya:

JPM : Tufanye kazi kwa bidii (Hapa kazi tu)

Shein: ...................................?


Waliobuni hiyo kauli mbiu walitaka kumfurahisha JP na Makonda.
Kama ulidhani vita dhidi ya madawa ya kulevya inaishia kwa makonda basi tafakari upya
 
Nadhani siku hiyo Bashite atakuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma kwa maana anatamani ingekuwa inafanyika Dar!!!! Ila sitoshangaa kumuona akiwa pembeni mwa mkuu nasema sitashangaa kabisa
 
Mara.....ohhhh!! Hizi sherehe ni gharama,watu walipiga dili......sijui nini na nini......"

Sasa mbona na yeye anazifanya?

Gharama anazihesabu sasa hivi?

Hajui kina Chief Mkwawa walitoa gharama ya uhai wao kupigania Uhuru?

Akina chief Songea walinyongwa kwa sababu ya kupigania Uhuru?!

Akina Mtemi isike na Mitambo?!

Mzee Nyerere alikuwa anatoka pugu kipindi hakuna magari na aliacha hata kazi ya ualimu yeye na mkewe wakaishi kwa shida!

Leo wewe unaambiwa usherekee kukumbuka gharama waliyolipia kwa ajili ya Uhuru unasema gharama!,hawa wazee wangehesabu gharama leo tungekuwa wapi?tena walilipia kwa jasho na damu

Mizimu ya watanganyika hao ingevuma kusi na kaskazi mpaka kingeeleweka
 
Mara.....ohhhh!! Hizi sherehe ni gharama,watu walipiga dili......sijui nini na nini......"

Sasa mbona na yeye anazifanya?

Gharama anazihesabu sasa hivi?

Hajui kina Chief Mkwawa walitoa gharama ya uhai wao kupigania Uhuru?

Akina chief Songea walinyongwa kwa sababu ya kupigania Uhuru?!

Akina Mtemi isike na Mitambo?!

Mzee Nyerere alikuwa anatoka pugu kipindi hakuna magari na aliacha hata kazi ya ualimu yeye na mkewe wakaishi kwa shida!

Leo wewe unaambiwa usherekee kukumbuka gharama waliyolipia kwa ajili ya Uhuru unasema gharama!,hawa wazee wangehesabu gharama leo tungekuwa wapi?tena walilipia kwa jasho na damu

Mizimu ya watanganyika hao ingevuma kusi na kaskazi mpaka kingeeleweka
Sasa hivi hata vi-birthday vinaonekana dili ili tu wapate kiki.
 
Tarehe 26/4/2017 Tanzania itaadhimisha miaka 53 ya muungano wa kipekee duniani ambao umedumu kuliko miungano mingi.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni ...miaka 53 ya Muungano; Tuulinde na Kuuimarisha, Tupige Vita Dawa za Kulevya na Kufanya Kazi kwa Bidii.

Kulingana na kauli mbiu hii na yale yaliyojiri baada ya Makonda kuwataja hadharani wahusika wa madawa ya kulevya kiasi cha kuandamwa sana ili ang'olewe lakini Magufuli akatoa msimamo thabiti.

Je Mheshimiw Rais atakuja na cheche gani dhidi ya wauza ngada mashuhuri?

Suala la madawa ya kulevya limeathiri pande zote za muungano tena inawezekana kwa kiasi kikubwa kwa upande wa Zanzibar.
Rangi gani unaweka mkuu? Inaumiza
 
Tarehe 26/4/2017 Tanzania itaadhimisha miaka 53 ya muungano wa kipekee duniani ambao umedumu kuliko miungano mingi.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni ...miaka 53 ya Muungano; Tuulinde na Kuuimarisha, Tupige Vita Dawa za Kulevya na Kufanya Kazi kwa Bidii.

Kulingana na kauli mbiu hii na yale yaliyojiri baada ya Makonda kuwataja hadharani wahusika wa madawa ya kulevya kiasi cha kuandamwa sana ili ang'olewe lakini Magufuli akatoa msimamo thabiti.

Je Mheshimiw Rais atakuja na cheche gani dhidi ya wauza ngada mashuhuri?

Suala la madawa ya kulevya limeathiri pande zote za muungano tena inawezekana kwa kiasi kikubwa kwa upande wa Zanzibar.

Hakuna cha cheche huko. Labda majivu yaliyopoa. Matumizi yake makubwa ni kupunguza harufu kali ya choo cha shimo.
 
ngoja nikalale naweza kuoteshwa hotuba alafu kesho nikaiweka hapa....lakini kwa tarehe hizi huwa mwezi ndo unaandama yaani mwezi mchaga tutegemeee vituko show
 
Hatakuwa na cheche zozote ktk hotuba yake zaidi ya kusisitiza tu umoja,amani,utulivu na ushirikiano wa kitaifa kwa kila mmoja.

Na kila mmoja kuwajibika tu kufuata sheria, kufanya kazi kwa bidii,kuheshimu vyombo vya dola
 
Back
Top Bottom