Wanabodi,
Leo 9 December tunaadhimisha miaka 49 ya Uhuru na miaka 48 ya Jamhuri ya Tanganyika.
Kwa wale wenzetu wenye access ya TV au walioko uwanjani sio mbaya wakichukua picha za matukio kadhaa na kuyaweka hapa.
Japo matendo ya baadhi ya viongozi wetu wa leo yamewasaliti wale waliopigania uhuru, lakini bado siku hii ni muhimu kwa historia ya nchi yetu.
Nawakilisha,