Sherehe ya wafanyakazi inapogeuka sherehe ya serikali

Serikali awamu ya 5.....inataka kuua mihimili mingine ibakie yenyewe tu! Bunge wamewe pandikizi lao (Naibu Speaker) wanafanya wanavyotaka! Sasa uhuru wa Bunge kama mhimili umeisha kabisa!
 
Kule Kenya KBCTV ni lugha ya mama mwanzo mwisho na nilibahatisha kusikia neno moja tu nalo alilitaja kwa shida ....ni neno Magufuli, kule Dodoma ni Ubungo mpaka Mbagala haina kituo, jamaa wa Kenya wa chama cha wafanyakazi nimemkubali
 
Serikali awamu ya 5.....inataka kuua mihimili mingine ibakie yenyewe tu! Bunge wamewe pandikizi lao (Naibu Speaker) wanafanya wanavyotaka! Sasa uhuru wa Bunge kama mhimili umeisha kabisa!
Huyo alokudanganya kuwa mabadiliko yanakuja kwa kwa kuzungusha mikono kaharibu sana.
 
kiongozi gani wa chama cha wafanyakazi leo anaweza kusimama kuongea kwa uhuru kama zamani??? sherehe ya leo ni ya wafanyakazi..serikali au waajiri ni waalikwa ambao mwisho watatakiwa kujibu risala
 
kiongozi gani wa chama cha wafanyakazi leo anaweza kusimama kuongea kwa uhuru kama zamani??? sherehe ya leo ni ya wafanyakazi..serikali au waajiri ni waalikwa ambao mwisho watatakiwa kujibu risala
kabisa hiyo ndio hoja yangu inaondoa kabsa mantiki ya wapigania haki za wafanyakazi kuanzisha siku ya kimataifa ya wafanyakazi. serikali na sekta binafsi (waajiri) ni wadau muhimu kuwepo lakini si kama wenye shunguli uhuru wa vyama vya wafanyakazi ni jambo muhimu sana!
 
Serikali awamu ya 5.....inataka kuua mihimili mingine ibakie yenyewe tu! Bunge wamewe pandikizi lao (Naibu Speaker) wanafanya wanavyotaka! Sasa uhuru wa Bunge kama mhimili umeisha kabisa!

Sasa mihimili yote imekufa aisee huwezi kuamini tutaona mengi lkn sio mwenyekiti wa IPP
 
Serikali awamu ya 5.....inataka kuua mihimili mingine ibakie yenyewe tu! Bunge wamewe pandikizi lao (Naibu Speaker) wanafanya wanavyotaka! Sasa uhuru wa Bunge kama mhimili umeisha kabisa!
Ewaaa, Kisu kimegusa mfupa,Bunge la Serilkali lipo la Wananchi limetoweka.
 
Naangalia sherehe za mei mosi hapa nadhindwa kuelewa mwenyeji wa sherehe ni nani kati ya TUCTA au serikali(waajiri)?
Mkuu wa mkoa wa Dodoma kawa mshereheshaji na waziri Muhagama anashukuru wageni kwa kuja kushirikiana nao.......NANI MTETETEZI WA WAFANYAKAZI?

Kumbuka lile swala la draft ya Warioba na ile ya baada ya hapo lilivyokuwa
 
Huko tunakoelekea utasikia sikukuu ya Pasaka kitaifa pale St Peter MC ni Makonda au Maulidi msikiti wa Kwa mtoro mwongozaji ni Nape.
Hatujitambui kabisa.
 
Kule Kenya KBCTV ni lugha ya mama mwanzo mwisho na nilibahatisha kusikia neno moja tu nalo alilitaja kwa shida ....ni neno Magufuli, kule Dodoma ni Ubungo mpaka Mbagala haina kituo, jamaa wa Kenya wa chama cha wafanyakazi nimemkubali
Sio siri sijaambulia hata moja ktk hayo uliyoandik
 
Si tulisema Kikwete koti tu pale Ikulu, ni dhaifu, nchi haina Rais....

Sasa amekuja mwenyewe... Koti limeondoka.!
 
Sio siri sijaambulia hata moja ktk hayo uliyoandik
Usione haya wala soni haukonpeke yako !sijui madhumuni ta huyu mtu nadhani aliamua kuleta mzaha fulani ili kuonesha kukerwa au kufurahishwa na hoja mama!
 
Back
Top Bottom