KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,312
Ivi kwanini watu huo wanahangaika kuandaa sherehe kuubwa ya kuziliwa afu hawasemi wametimiza miaka mingapi?
Hofu yao ipo wapi? kama unaogopa kuonekana kikongwe, kwanini ufanye sherehe?
Ivi kama mfano miaka yako ya kuishi uliopangiwa na Mnyaazi Mungu ni 70, je huoni umepunguza moja ya miaka yako hapa duniani?
Kama umepunguza miaka na siku zako za kuishi duniani,, unafanya lijisherehe la nini?
Je kama umezoea kufanya masherehe makubwa makubwa,, ukifa, wapendwa wako wataendelea kukumbuka siku yako ya kuzaliwa kwa kufanya sherehe?
Hofu yao ipo wapi? kama unaogopa kuonekana kikongwe, kwanini ufanye sherehe?
Ivi kama mfano miaka yako ya kuishi uliopangiwa na Mnyaazi Mungu ni 70, je huoni umepunguza moja ya miaka yako hapa duniani?
Kama umepunguza miaka na siku zako za kuishi duniani,, unafanya lijisherehe la nini?
Je kama umezoea kufanya masherehe makubwa makubwa,, ukifa, wapendwa wako wataendelea kukumbuka siku yako ya kuzaliwa kwa kufanya sherehe?