Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
jamani nawaombeni sana watu ambao mnapenda kufanya sherehe bila ya kuwa na fedha muache tabia hiyo.
unakuta mtu hana hela ila anapenda tu kuwakusanya watu na kuwapotezea muda kwa mambo yasiyo na maana.
Jumapili hili kuna my friend wangu alinialika nyumbani kwake kuwa anafanya birthday,basi mzee nikajipinda kumnunulia zawadi ya nepi rafiki yangu huyo.
Basi baada ya watu kuanza kumiminika na nyimbo za hepi bathdei,tukawekewa na muziki mkubwa,tukacheza sana kumsapoti rafiki yetu,basi ulipofika muda wa maakuli nilipigwa na butwaa,baada ya kuona waandazi hao wakitunawisha kwa mafuta ya kula,mtu mzima nikauchuna nione nini kitatokea,huwezi kuamini ndugu msomaji TUKALETEWA MAFENESI.Nalog off
unakuta mtu hana hela ila anapenda tu kuwakusanya watu na kuwapotezea muda kwa mambo yasiyo na maana.
Jumapili hili kuna my friend wangu alinialika nyumbani kwake kuwa anafanya birthday,basi mzee nikajipinda kumnunulia zawadi ya nepi rafiki yangu huyo.
Basi baada ya watu kuanza kumiminika na nyimbo za hepi bathdei,tukawekewa na muziki mkubwa,tukacheza sana kumsapoti rafiki yetu,basi ulipofika muda wa maakuli nilipigwa na butwaa,baada ya kuona waandazi hao wakitunawisha kwa mafuta ya kula,mtu mzima nikauchuna nione nini kitatokea,huwezi kuamini ndugu msomaji TUKALETEWA MAFENESI.Nalog off