Shemu atamuua sister, nifanyaje?

Shemu atamuua sister, nifanyaje?

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.
 
MtangaZie dau kabosa ili hata akimaind wewe unatoweka zako na mshiko unao
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.

Huu sasa wivu, umesikia dada ako analalamika hagegedwi vizuri?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kwanini uliachia mda wote huo mpaka sasa ndio unasema? huyo dadako ni baba na mama mmoja au wa hiyari? sababu kama baba na mama mmoja sidhami kama ungeweza kumeza ukachukua upande wa rafiki na dada yako ukamtenga....
na jaribu kupunguza au kubadili hivyo viwanja huyu shem/rafiki anakuona wewe hujali na sijui kamatathmini vp,manake haelekei wewe kukaa na wasichana wengine na wewe ukakaa hapo kama vile huyo ni kaka yako.....pole kama ntakua nimekukwaza....
 
Huenda hata dada yako alikuwa ni mmoja wa Totoz wakat fulani,so waache wenake wajinafasi kwa raha zao, maisha yenyewe yako wapi?
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.

"Unagongana" na shemu wako?
Afu huenda anampenda sister ako ndo mana anatafuta tgo za nje.
 
Kama umeamua kula asali kula, acha kuchunguza trip za nyuki
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.
Wewe ndiyo mwenye balaa lote; Ujue watoto wa dada yako wanakuita mjomba!! ilikubidii kuzuia fitina hiyo hapo mwanzoni kabisa. Lakini ukimya wako na udhaifu wako umekufikisha hapo. ..Anyhow still wewe kama rijali toa ONYO kwa shem wako na liwe onyo la mwisho !! ili arudi nyumbani kwa familia yake. awatendee haki na uadilifu.....
wote muache uhuni na ubadhirifu, watoto wanamahitaji mengi.
 
Naona kwa jinsi ulivyo jieleza, huenda shem kavua toto lako. Hasira unaificha kidogo lakini kengele ilisha lia. Amua kumtonya dadako pale unapohakiki kuwa yupo ndani ya guest. Utafanikiwa mawili, umelipa kisasi na umemweza mwizi wako.
 
kaa ktako funguka kwa shem wako , umwambie kuhusu madhara yanayoweza kutokea kutokana na kupenda totoz kama vile kulepeleka magonjwa kwa mkewe, siku akifumwa na ndoa ndo mwisho , familia itasambaratika hata wewe na yeye urafiki utapotea tu!
 
Wewe umeumbwa kuwa mlinzi wa dada yako?
Je, una uhakika kuwa dada yako hakujua hilo wakati anaamua kuolewa nae?
Je, una uhakika kuwa dada yako naye hagongani viwanja na mawifi zake?
Dada yako aliwahi kukupa kazi ya kumchunga mumewe?

Ushauri: Waache watu na maisha yao...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom