Shemeji yenu mungu anamuona

Shemeji yenu mungu anamuona

Hutakiwi kumuuliza tena kuhusu hilo suala, fanya kama hakijatokea kitu
 
Achana nae kaka,,,Shem ana utovu wa nidhamu mnoo,,tulikwambiaga lakini hukutaka kutuelewa wadogo zako ukatuona masnichi sioo!!na kumbuka imeandikwa """Na Kila Mmoja ataubeba Msalaba wake yeye Mwenyewe"Pambana na msalaba wako kaka!!Lakini kama hutojali NIPASIE NAMBA ZA SHEM NIONE NAMNA YA KUMKANYA MNOO,,, KUMFANYAZIA MNOO NA KUMFANYA MNOO"zingatia kama hutojali!!
 
Ko ko Koo


Mie mchepuko kaja, kanipikia, nikapiga viwili, nikampeleka Stand, akaondoka.🤣🤣
 
Back
Top Bottom