sio wa mjn 2 ata vjjn ivo ivo, yn we um2mie af maitaj amwambie mzaz kwan chup anamvulia mzaz au wewe kdume!!!
Your question is also general. Because you asked for LOVE, and not for TRUE LOVE...!Leo nimempigia shuti la kushitukiza shemeji yenu, kwa jinsi alivo mrembo nikajiuliza hebu ngoja nimtwishe hii quiz ili nami nijue my strength maana sijui, nikamuuliza kwa nini unanipenda? akaanza kuzunguka, nikajua hapa nimempata, utetezi mwingi, ooooh siku zote hizo hujui, nikabana ajibu, baada ya muda mrefu akaja na haya majibu, mstaarabu, mpole, mcheshi na ninajali. Nipo najiuliza hizi kweli ni sababu za mwanamke kukupenda? tena kwa hawa wanawawake wa mujini?????
siyo mnatumiana na kufaidiana kweli ?Issue inakuja ukute hata kuhonga haongi c bora ajibiwe ivo ipite?? Maana n shudaaa, wanaume wa cku hzi pasua kichwa unashinda ukimwambia eti umemfanya mzaz au unamkomoa sa anataka shida zoote nikamwambie mzaz akat yy ananitumia??
haswaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!Your question is also general. Because you asked for LOVE, and not for TRUE LOVE...!
"True Love" has no reason(s), but it is associated with endless and unconditional sacrifices....
So, when you ask any person that why s/he loves you, and s/he gives a reason, then take in mind that s/he don't loves you, but what feature(s) you posses...! Even our blood relatives, we don't loves them just because they are our relatives, but we loves them by coincidence...!
"True Love" does not exist because the loved one is white, black, tall, rich, charming, or otherwise, but it always happens by coincidence, and no one between them can exactly tell why....
Leo nimempigia shuti la
kushitukiza shemeji yenu, kwa jinsi alivo mrembo nikajiuliza hebu ngoja
nimtwishe hii quiz ili nami nijue my strength maana sijui, nikamuuliza
kwa nini unanipenda? akaanza kuzunguka, nikajua hapa nimempata, utetezi
mwingi, ooooh siku zote hizo hujui, nikabana ajibu, baada ya muda mrefu
akaja na haya majibu, mstaarabu, mpole, mcheshi na ninajali. Nipo
najiuliza hizi kweli ni sababu za mwanamke kukupenda? tena kwa hawa
wanawawake wa mujini?????
wanawake w Mujini hawa na ndio mnaowapenda kibaridi@hotmail.comLeo nimempigia shuti la kushitukiza shemeji yenu, kwa jinsi alivo mrembo nikajiuliza hebu ngoja nimtwishe hii quiz ili nami nijue my strength maana sijui, nikamuuliza kwa nini unanipenda? akaanza kuzunguka, nikajua hapa nimempata, utetezi mwingi, ooooh siku zote hizo hujui, nikabana ajibu, baada ya muda mrefu akaja na haya majibu, mstaarabu, mpole, mcheshi na ninajali. Nipo najiuliza hizi kweli ni sababu za mwanamke kukupenda? tena kwa hawa wanawawake wa mujini?????