Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, sijaoa kwasababu bado nipo shule,ninaisha kwa kakaanga. Kila ninapopiga stori na shem hupenda kunisogelea nakufanya jitihada za angalau kunigusa, pia huja kochi jirani na nilipokaa. Hii ikoje jfs? Kawaida au?
Miaka 27 bila shaka unasoma chuo. Sasa unatafuta nini kwa kakako kama siyo uchokozi huo? Kakae chuoni, kuna ndugu wengine ni wasumbufu kwelikweli, kwa kuwa tu kakako yupo karibu basi unataka vya dezo. Nenda kapange chumba karibu na chuoni kwako acheni kuwasumbua ndugu zenu na ninyi. Kakako anahitaji faragha na familia yake na si usumbufu wako hapo nyumbani kwake.
Dah wengine 26 tumetimiza juzi but home tulishatimuliwa kitambo na vyumba vyetu wameshapewa wengine,, but kuna mijamaa bado ipo kwa kaka zao inanyatia shemeji zao... Kweli watu wanatofautiana
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, sijaoa kwasababu bado nipo shule,ninaisha kwa kakaanga. Kila ninapopiga stori na shem hupenda kunisogelea nakufanya jitihada za angalau kunigusa, pia huja kochi jirani na nilipokaa. Hii ikoje jfs? Kawaida au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.