kweli wanawake hatuna jema me nilivyoona anakutega nilidhani anapita na tite na short dres, anakaa kihasara, kumbe mrembo wa watu kazidisha adabu kwako imekua nongwa ,kweli wanaume ni kama watoto inatakiwa uwawazie mda wote,Hivyo vitu anavyokufanyia shemeji yako mpaka unahisi anakutega kwani mkeo hawezi au hajawahi kukufanyia? Na kwa nini usimwambie mkeo akufanyie same same ili usiendelee kutegeka kwa shemeji yako? Kwa sababu kama utaendelea kuruhusu kutegeka na kutegeka nadhani mwishowe utajikuta umekuwa tempted to touch!!!!!!!!!!!!!
Anakuhudumia na kukuheshimu kama shemeji yako, sidhani kama ni jambo jema kila unalotendewa la upendo uliconnect na mambo ya uzinzi, ulitaka afanyaje, asikuheshimu?! Na kama asingekuheshimu si ndo ungemtimulia mbali na maneno ya kejeli?
By the way, inakuwaje unamruhusu shemejiyo aingie chumbani kukutandikia kitanda wakati mkeo yupo? Kwa nini vitu vingine usimwambie uvifanye mwenyewe hata kama nia yake ni njema na wewe umehisi hali ya tofauti? Jitunze na mheshimu mkeo na familia yake.
Wewe utajisikiaje akija mdogo wako wa kiume au kaka yako na kumtamani mkeo? Jiweke kwenye hiyo position na fikiria tena.
Mimi naishi na mke wangu na tumejaaliwa kupata watoto wawili. Shemeji yangu baada yakumaliza shule, kaja kuishi nasi nyumbani kwangu, nimemtafutia chuo na anasoma nakurudi nyumbani, lakini maisha yake yamenifanya nizidishe upendo kwake. Kwakuwa mke wangu nimfanyakazi huwa sanyingine anaondoka mapema nakuniacha mimi, mimi ni mfanyabiashara na huwa nasafiri maramojamoja mikoani hivyo nirudipo nyumbani toka mikoani nabaada ya kusambaza biashara zangu, muda mwingi huwa nachelewa kutoka nyumbani na saanyingine nakuwepo tu nyumbani kwaajili yakupumzika jioni ndo huwa natoka. Sasa shemeji yangu huwa ananisalimia kwakupiga magoti mpaka chini na kama hiyo haitoshi hunipelekea sabuni na mswaki aliouwekea dawa ya mswaki, kama hiyo haitoshi hurudi tena nakuniita kwa sauti ya upole, shemeji nenda kaoge tena akiwa amepiga magoti! Baada yakutoka kuoga nikiingia chumbani nakuta kitanda kimetandikwa kwa umaridadi na ameniandalia nguo ambazo nitavaa iwapo kama nitatoka, nakuta chai imeshatengwa mezani nakaribishwa kwakupigiwa magoti. Nanawishwa mikono kwa maji ya moto, chakula kinaombewa halafu nakaribishwa kwa sauti nzuri, yaani mmh! shemeji huyu tabia yake inanifanya nampenda zaidi ya sana kwakweli. Mbaya zaidi ni mrembo navutiwa nae hadi napitiliza, kwani ananionyesha upendo ambao hata mke wangu huwa hanionyeshi na sijawahi kuupata. Nampenda sana shemeji yangu, ila tu najilinda nisifanye dhambi ya kumtamani naku do nae!
Kwa vile anakupigia magoti ndio umeona anakupenda?
Maana naona umesema mara kadhaa kuhusu kupiga magoti.
Kama that's a turn on kwako si umwambie mke wako nae apige?
So unasemaje hapa? Mila ya mke wake haimruhusu kupiga magotiMwali unajua wengine mila hizi ni tofauti kwao !
So unasemaje hapa? Mila ya mke wake haimruhusu kupiga magoti
ila mila ya shemeji (mdogo mtu) inasema ampigie shem wake magoti?
Hapo sasa! Kama ni hayo tuu mbona easy to copy? Ingekua kavutiwa na trait of character
au ingekua kavutiwa na something unic ambacho mke hawezi ku-replicate, ningeelewa.
Innaonekana kategeka na sauti, kupiga magoti na kuwekewa colgate kwenye mswaki etc.
of coz shemeji anajua kitu gani mwanaume anataka ndo mana anajaribu kukufanyia yote hayo and nahisi anafanya hivo ili kulinda ndoa ya dada yake asitoke nje ...so atakuwa disapponted kuona unamtongoza kwani atakatishwa tamaa na wanaume ninachokushauri we muombee kwa mungu apate mwanaume atakaempenda ili aje amfanyie mumewe na umwambie tu kuwa hayo anayoyafanya yatampendeza mumewe zaidi so asiishie hapo.GOD BLESS YOUR MARRIAGE
hii hatari kweli kweli, huyu anaweza kucheza mechi ya ugenini na akafunga magoli, mana anaonekana yuko kwenye moli kwelikwelipole anakupenda coz nawe unamjari kwa kila kitu. ndiyo maana kafall love kwako. kuwa makini maana jogoo akiwika sijui itakuwaje, anaweza shem wako akapiga magoti akusaidia uyo jogoo wako akiwika!!!