Shemeji Wa ajabu

Shemeji Wa ajabu

unajua nin? dadaako nashemej waajabu wamepanga kukutoa kafala. so take care
 
Muda wote huo wewe unaishi kwa shemeji yako au!??
 
Wazo la Mkjj, ni muafaka sana. Ningeshauri walifikishiwe mapema sana ikiwezekana kabla ya kikao cha leo watakachokifanya na waandishi wa habari ili tarehe itangazwe rasmi leo. Ikiwezekana weekend hii lets say jumapili ingekuwa vizuri zaidi. Wananchi wengi wanatamani kupata nafasi ya kuunga mkono jitihada hii. Na nianaamini maandamano hayo yataweza kuvunja rekodi. Na ingefaa yafanyike kabla JK hajarudi. ...Tatizo sijui kama watayaruhusu

Wote (mume wa mtu aliyerubuni, mke wa mtu aliyekubali kurubuniwa) ni washenzi.
 
Mwanaume ni kifua Mkuu. Sifa ya pili inayoendana na hio.. lazima upime maneno unayoyaruhusu kukutoka. Vinginevyo unakua umepungukia na kitu muhimu sana.

Kama hizo picha ni za kweli na haya usemayo ni kweli, basi kuna shida unaitengeneza na itakulika muda si mrefu

Lakini na wewe unakubali kukaa na kusikiliza stori hizi kweli tena kwa dadaako? Dunia ina mengi.

Nadiriki kumuita ivyo cos mm Kama mwanaume hainiingii akilini vitendo alivyokua anafanya,alianzisha mausiano na Dada binamu wangu ambae tayari alikua na mchmba na ivi sasa anamume wake!mumealali wa sister alienda njee kikazi kwa mud a Wa miaka2 baada ya Kama miezi mitano kupita Dada akashidwa kuvumilia (msisimko Wa kimwili)ndipo akakutana na shemeji Wa ajabu akamsotea Dada Kama miezi miwili akakubaliwa apo ndipo alipo anzisha manjonjo kwanza kamuamisha Dada nyumba alio kua anakaa kampangia upande mzima,kabadilisha vitu vyote ya ndani kochi kitanda,kabati,frig, na vingine kaweka vipya.

shopping anafanyiwa kila mwezi kuanzia nguo na vitu vingine,kamfungulia sister bonge LA duka kavipodozi,sister na mumewake walikua na kiwanja mbezi awajajenga jamaa kaona mbezi mbali kamnunulia sister kiwanja kimara na kamjengea ndani ya miezi mi3nyumba nzuri.kilicho nichosha mume Wa sister akiishiwa Pesa uko njee akimwambia Mkwe amtumie jamaa anasema anamtumia yeye anatoa ela yake anamtumia mume mwenzie.mwezi Wa tatu mume Wa sister karudi basi jamaa kamwambia sister anampenda sema kaisha olewa ataki kuaribu ndoa yake so wakaachana toka mwezi Wa tatu mpaka kesho ajawai kumpigia simu sister wala kumtafuta du Leo nimekuja kwa sister nimeiyona ihii nyumba nimemkumbuka kweli huyu jama nimeshindwa kuelewa alipenda Sana or mini?maana hii nyumba kajenga nzuri kushinda yakwake.kweli ni shemeji wa ajabu!:what::what::what::what::what:
 
Labda anaogopa kupigwa na vitu vyenye ncha kali?
 
Inawezekana huyo shemeji yako wa ajabu si ajabu kakutifua hata wewe pia! maana ulivyorembua mimacho wakati unaandika hako ka riwaya kako!!! Domo kama samaki!!!
 
Ujaelewa maada kaka Dada yangu ajavunja ndoa ya mshikaji naasilimia 99.9%mke wa msikaji ajui Kama mume wake alikua na mwanamke njee na wameachana kiustarabu cos ata shemeji yangu ajui Kama Mkwewe alikua na mwanaume mwingine nacho kishangaa niuyu shemeji Mdogo kuudumia mke wa mtu na mwenyemali alivyo rudi kamuachia Mali yake

Huyo mwenye mke aliporudi toka nje na kukuta mkewe ndani ya bonge la jumba jipya na makorokoro mapya kibao hakustuka?? Mke alikuwa anaishi kwenye vyumba 2 au 3 akahamishiwa upande mzima, baadae jumba la uhakika ndani ya kipindi kifupi jamaa hakustuka kweli??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom