Sister Cajojo, hili ni kosa ambalo nalijutia sana..at least nmesema hapa nimepata relief kidogo regardless matusi nnayopokea.
Nimemwambia huyu bro kuhusu hiyo issue na nnashukuru Mungu amenielewa na hakutaka tena kuongea chochote na huyu shemej etu zaidi nae amejutia kwa ujinga aliotaka kuufanya.
Kuhusu kupima afya nitafanya hivyo japo najua katika sarakasi zangu zote sijawahi kucheza 'peku' na nilichukua tahadhar zote.
Asante Sisy