Jamani hii ni nini? Mke wa jamaa mmoja ambaye sina ukaribu naye na wala sio jirani yangu kivileeee....lakini namfahamu mumewe ambaye anauwezo wa kimaisha .... gari mbili za kutembele ajira serikalini.. mkewe amemfungulia mradi wa kuku wa nyama na mayai..kifupi hela ya kubalilisha mboga haipigi chenga... lakini ananiambia shemeji nikopeshe 100,000/= lakini chonde chonde....mume wangu asijue.. iwe siri yetu... jamani ushauri...