Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 907
Una Tamaa kama Fisi...
Tens hafai huyu sasa hapo anataka usha ri gani, ngoja tushibe pilau zen nitatoka ushauri
Una Tamaa kama Fisi...
I was looking for your comment.
Hivi yule jamaa wa "Nalog off" hua id yake nnani?
wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani.sasa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3..na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira,sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job,mimi nipo tu home na shemeji yangu,kid anapelekwa shule asubuh mpska jioni.shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli..yani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana..mana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo,juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu.jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje je?maana uzalendo unaelekea kunishinda asee.maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.naombeni ushauri weni wadau.
asanteni
Naona leo takribani miezi minne ipite toka ulete uzi huu, sasa nakuomba ulete mrejesho mmefikia wapi na shemeji yako-umeshamtumia au bado anakutega tu na hujanasa kwenye mitego yake?
Mkuuu unamchelewesha nini huyo? Mgegede fasta ukate hizo ngebe zake.....
Nimekupenda sana momo j. Ushauri mzuri sana lakn utashangaa anafata ushauri uso na maana kwake.ndugu yangu achana na shemeji yako. Trust me;endapo mtafanya uzinzi, hiyo zambi itakutafuna siku zote za maisha yako. Utabaki na psychological wounds throughout ur life. Utajuta na kusaga meno, yaani ni bora uchapuke outside.!!!!!! ,Halafu hapo nyumbani kwako, hana mipaka? Shemeji yako ataingiaje chumbani kwako mnapolala ww na mkeo?! Lazima muwe na mipaka na kuheshimiana
Kabisa,tena usimpe asilani!Don't try tht at home.. Tulia na mkeo, mwsho wa tamaa ni aibu na fedheha kubwa. Jiheshimu muheshimiane. Embu kua bas nawe
Achana na huo ujinga utaatarsha ndoa yako na utamfanya huyo bnt akuzarau na amzarau dada yake mapenz yana upofu mdogo mtu achelew ata kumpa sumu dada yake achana na huo upuuz kaka majuto ni mjukuu hakika utarud apa ukiwa umechanganyikiwa...vile vile mshauri mkeo amshauri dogo awe anavaa mavaz ya heshma na asiingie chumbani kwenuWe ndo unamtaka, ulipokua unaoa c ungetafuta anaewazidi wote umbo????
Tamaa yako inakufanya uctulie kwenye ndoa yako.
Mungu akusaidie.....
sawa sasa je nawezaje kuepuka na hivi vishawishi.?