Shemeji ananitaka au mawazo yangu tu?

Shemeji ananitaka au mawazo yangu tu?

Tamaa mbele mauti nyuma. Ni jambo la kijinga sana kufanya ngono na mdogo wa mkeo~fikiria siku ukute mkeo kamvulia ch*pi mdogo wako wanat***ana utachukuliaje? Acha ujinga
 
Kijana....
Pole sana kwa kuwa nyumbani mwezi mzima.
Kama hushughulishi akili yako kwa kipindi hiki basi jua wazi kuwa mawazo yako yatakuwa ya kingono zaidi.
 
Utaumia wewe jaribu uone and then mkeo ajue kuwa umemla mdogo wake..... Pia si uungwana hata kidogo
 
Kwa jinsi ulivyomsifia na uhakika asilimia 100 ni lazima umtafune tu!!ila ni katika makosa yakipuuzi na ya kishamba Sana Kwa mwanaume ulie kwenye ndoa kuyafanya!!
 
Yawezekana hutafti kazi ili ukae nyumbani kumwinda shemeji
Acha njaa
 
Akili yako ikiwa na kazi ya kufanya hutamwaza shemeji yako. Pambana uwe na kazi ya kufanya
 
Yaaan baba wa familia kweli ndo anakaa chini anaandia hii mambo kuomba ushauri. Hatari sana.
 
Wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani. asa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3 na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira.

Sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job, mimi nipo tu home na shemeji yangu, kid anapelekwa shule asubuh mpaka jioni. Shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli.. Yaani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana.. Maana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo.

Juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu. Jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje maana uzalendo unaelekea kunishinda asee. Maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.

Naombeni ushauri wenu wadau.

Asanteni.
Wewe mkataba na kampuni yako umekwisha, badala ya kupambana kutafuta kazi unakaa nyumbani kuangalia makalio ya shemeji yako huku mke wako akiwa anahangaika daaah wewe ni shida sana, na kwa jinsi navoona unaweza ukakaa nyumbani tuu mpaka uzeekee hapo
 
Wewe mkataba na kampuni yako umekwisha, badala ya kupambana kutafuta kazi unakaa nyumbani kuangalia makalio ya shemeji yako huku mke wako akiwa anahangaika daaah wewe ni shida sana, na kwa jinsi navoona unaweza ukakaa nyumbani tuu mpaka uzeekee hapo
WEWE UNATAKA KULA KUKU NA MAYAI YAKE WEWE PUMBAVU SANA NA MKEO ATAKUA AMESHAKUBAINI ANAKUVUTIA PUNZI
 
wala hakutegi bali akili yako ndio inajitega. Jaribu kutoshinda nyumbani mpk mkeo anaporudi. Dhambi ya kumla mdogo wa mkeo ni mbaya sana akigundua utaleta ugomvi mkubwa sana kwenye ukoo wao. Be a man ninja yashinde majaribu
 
Wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani. asa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3 na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira.

Sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job, mimi nipo tu home na shemeji yangu, kid anapelekwa shule asubuh mpaka jioni. Shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli.. Yaani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana.. Maana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo.

Juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu. Jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje maana uzalendo unaelekea kunishinda asee. Maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.

Naombeni ushauri wenu wadau.

Asanteni.
Mtafune mkuu
 
wala hakutegi bali akili yako ndio inajitega. Jaribu kutoshinda nyumbani mpk mkeo anaporudi. Dhambi ya kumla mdogo wa mkeo ni mbaya sana akigundua utaleta ugomvi mkubwa sana kwenye ukoo wao. Be a man ninja yashinde majaribu
Duuh
 
Back
Top Bottom