Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,984
- 3,006
Teenagers wanaobalehe wamejaa sana siku hizi humu JF
mmmmmmh....hii mitihan ishanshindaga
Aiseee...Jf never boring
mkataba umeisha.. upo nyumban mwez mzima.. badala ya kutafta kaz ingine umekalia tu kumtaman shemej ako....
kwa taarifa ako huyo shemejiyo hana time na wewe....
tuheshimiane bwana kamanda..wewe wa moshi rombo nini..
wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani.sasa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3..na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira,sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job,mimi nipo tu home na shemeji yangu,kid anapelekwa shule asubuh mpska jioni.shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli..yani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana..mana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo,juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu.jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje je?maana uzalendo unaelekea kunishinda asee.maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.naombeni ushauri weni wadau.
asanteni