Shemeji ananitaka au mawazo yangu tu?

Shemeji ananitaka au mawazo yangu tu?

Don't try tht at home.. Tulia na mkeo, mwsho wa tamaa ni aibu na fedheha kubwa. Jiheshimu muheshimiane. Embu kua bas nawe
 
Mmmmhhhhhh..! Mitihan ni mitamu kama umepanga mashambuluiliz+ yakikukuta utajibu nin
 
Ama kweli wewe jamaa ni Fukara. Kwa sababu ww ni Fukara ndio maana kwa sasa akili yako inawaza mgegedo tu.
 
Last edited by a moderator:
Don't try tht at home.. Tulia na mkeo, mwsho wa tamaa ni aibu na fedheha kubwa. Jiheshimu muheshimiane. Embu kua bas nawe
sawa sasa je nawezaje kuepuka na hivi vishawishi.?
 
fukara. . . km vip mkimbizie moto tu ili akuheshmu ukimuacha heshma itashuka
 
Naomba yake nikusaidie hakusumbui tena dawa yake nayo mimi
 
Kwa Taarifa Yako Huo Ni Mtego Aliokutega Mkeo! Sasa Wewe Jichanganye
 
nipe namba yake ya simu nimpatie ajira aache kukusumbua hapo home
 
wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani.sasa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3..na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira,sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job,mimi nipo tu home na shemeji yangu,kid anapelekwa shule asubuh mpska jioni.shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli..yani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana..mana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo,juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu.jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje je?maana uzalendo unaelekea kunishinda asee.maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.naombeni ushauri weni wadau.

asanteni

Mpige dole la tigo
 
Back
Top Bottom