Shemale unataka nini? Unikome!!

Shemale unataka nini? Unikome!!

Nakusalimia UOTE="mshana jr, post: 18150769, member: 98741"] [/QUOTE]
 
Shemale sio msagaji....

Shemale ni mwanaume ambae ana sehemu zake za siri za kiume zilizokamilika. Ila amejibadilisha kiasi fulani kujieka kama mwanamke.

Anaweza kuwa anajipodoa kama mwanamke, mavazi ya kike, nywele za kike, na hata akawa ana inplants, yaani kuweka maziwa kama ya kike, pamoja na kujibadilisha kimwili/ kisauti na sura kuwa ya kike. lakini akifunuliwa huko chini ni kidume.
 
[HASHTAG]#eddy love[/HASHTAG] mi sina tabia hiyo. nimeongea kiustaarabu kwa simu na kwa lugha nzuri sana huku kwenye simu ila MGUMU na siwezi kubadili namba kisa hiko tu........ ebu fanya imagination haya ndo yamekukuta.
hebu nipatie namba zao niwaunganishe na dada moja hivi ndo michezo yake kukoboa madada wenzie
 
i think msg alredy sent and derivery hawatarudi. na nnahisi ni wa 2 ila wana ID mbilimbili unachogundua tu ni miandiko yao.
Sawa umeeleweka
Ila hiki kiinglish chako nacho ni tatizo jingine
 
Habari ya hapa!!!!!!
Naomba ufahamu kuwa sipendi tabia ya ushoga / usagaji. habari ya kutaka kunitumia kadi ya benki na mirathi uliyoachiwa na wazazi wako ili nikutunzie mpaka utoke huko nnchi za watu sihitaji nilishakuambia usagaji sitaki am a girl and not boy! mitego yako nimeitambua kama ni uhaba wa hela matunzo yaliyopo yananitosha.

Na sijui nani kakwambia upekue maprofl ya watu fb na kuondoka na namba za watu huku hata huwajui unaanza kumtongoza mtu japo unaambiwa mimi ni KE mwenzio wew unakomalia haina tabu umezoea ooh kama nataka hela utanikabidhi kikadi cha benki jamani!!!!!! pia wale walionijaribu hapo zamani huko PM baada ya kuniona kimya saivi mmeibuka tena.

Nasema hivi (msisitizo) shemale mnikomeeeeeeee.
Mh
 
mtoa mada unajua tofauti ya shemele na lesbian mkuu?

naona umechanganya mafaili
 
Mmmmmmmh Interesting....

Hata hivyo shemale ni dume jike linaloumbo la kike na dushe while msagaji ni lesbian aka mwanamke aliyekamilika na papuchi safii tu.
 
Daah ...ukistaajabu ya musa...
Nasikiasikia ila sina uhakika kwamba wanaopenda kufanyiwa hayo mambo wengi wake za watu tena maarufu wengine, kuna mwingine mmama mwenye ndoa yake nasikia kampa kadada kanakomfanyia hio michezo nyumba gari ya kutembelea na benki,akaunt haikauki hata kidogo,mdada alikua anasema mmama hajawahi kuonja raha ya kufika kileleni na kale kautamu,sasa kamuonjesha na kadada kawa chizi, hamtamani hata mumewe
etttiiii....?!!!
 
Kabla ya kuniuliza ninaunga mkono ushoga ilibidi ujiulize ushoga chanzo chake utokea wapi kitu ninacho kiona kwako ni uwezo wa kiakili ulionao kuwa mdogo na akili iliyo fungwa na unafiki je yesu alipo mtetea mwanamke mzinzi alikuwa anaunga mkono uzinzi au la nijibu sasa nakujibu siungi
Kwanza nakusifu kuna sehemu unaongea point nzuri sana.
Lakini pia umekimbia swali la supermarket, haiwezekani useme uko katikati kwenye swala kama hilo.
Mfano mimi najibu , siungi mkono ushoga , nachukia ushoga, ila siwachukii mashoga kwa kuwa sijui walianzaje mpaka wakawa hivo,na hata nikiwachukua haitasolve anything. Hate the sin not the sinner, nachukia watu wanavotaka kutuaminisha kuwa watoto wetu wakiwa wamechagua ushoga basi wao wamechagua njia sahihi.
Kwa hiyo mkuu lazima tujue either una sapot ushoga au unachukia. Halafu baadaye ndio tukusikilize mitazamo yako kwa kina
Pia Yesu alichukia uzinzi ila alichukia pia uzinzi kuadhibiwa kwa mawe kwani ile haikumsaidia mtu, ndio maana mwishoni ali iterm kama dhambi na aka mwambia aliyekuwa mzinzi asitende dhambi tena, wala hakuwa vugu vugu kama wewe (naamini kuwa katikati ndio unafiki wenyewe, bora ukatae au ukubali)
lwiva
 
Back
Top Bottom